Kidini haikubaliki kwa sababu kubwa mbili
. Kwanza ni haramu na ni shub'ha kuchanganyika kwa jinsia mbili tofauti katika ibada za pamoja kama hiyo.
. Sababu ya pili kutokana na Quran tukufu, amelaaniwa mwanaume anayevaa mavazi ya kike , na mwanamke avaaye mavazi ya kiume. So huyo jamaa hapo na...
Ndugu zangu leo nina swali kidogo, hivi suala la kuongezeka kwa tahasusi kwa kidato cha tano na cha sita hadi kufikia idadi ya tahasusi zipatazo 65, ni dalili ya elimu kukua???
Aahh tena tunaosoma hapa vet medicine ndo kabisaaa, Tunafundishwa elimu ya zamani ambapo haiendani na uhalisia wa mambo ys siku hizi, what they think merely personal gain. Upuuzi mtupu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.