Yanga alienda kuzuia sio kushinda .
Ila jana yanga alicheza mpira mbovu zaidi kuwahi kutokea .
Mechi ilikua ya kubutua na kuzuia tu yaani yanga tumeteseka jana mda wote roho juu
Hili swala kwa vijana tunaona halina shida sababu maisha ya chuo ni kawaida kwa boy kwenda kulala chumba cha girl hadi asubuhi and vicevesa.
Ila kwa watu wazima wenye watoto wanaosoma chuo wana ona kama ni jambo la ajabu.
Chuoni kila mtu ana maamuzi binafsi ngono imekithiri sana miongoni mwa...
Anayebisha simba hakucheza nusu fainali ya CAF mwaka 1974 naomba alete hapa ushahidi wa timu zipi zilicheza nusu fainali mwaa huo.
Kuna laki tano hapa.
It’s open chalenge to anyone!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.