Wote wanaotetea mauaji ya Kimbari yanayofanywa na Putin kwa Raia wa Ukraine wasio na hatia, nawaweka kundi moja na watetezi wa mauaji na utekaji uliokuwa unafanywa na majahili wa awamu ya tano!!!!
Awamu ya tano iliharibu taratibu za utawala bora matokeo yake mpaka awamu hii midume mizima na korodani zao wanaendelea na utaratibu wa kuabudu na kumsujudia binadamu ili wapate uhakika wa ajira!
Midume mizima inategemea wanaharakati ndo wawatetee, Mzee Sykes angesubiri wanaharakati tusingekuwa tunasheherekea siku ya Uhuru wa Tanganyika leo!
Mwenyezi Mungu awarehemu Watanzania!!!!!!!!!!!
Nchi hii ina watu wakatili na waovu ambao wako serikalini na kwenye vyombo vya dola ambao kwa uovu wao hata Ziraili hawafikii! May the Almighty burn them in Eternal Fire!
Tatizo la Watanzania ni unafiki. Raia wasio na hatia wako magerezani na wengine wanauliwa ili tu CCM watawale milele na ajabu hao wanaohimiza tufunge na kusali kuomba mvua hawajawahi kukemea vitendo hivyo.
Mwenyezi Mungu sio wa CCM peke yao!!!!!!!!!!!
Huo ndio ukweli mtupu, ndio maana CCM walikuwa tayari kutoa roho za Watanzania wasio na hatia ili waendelee kuajiriwa na kututawala milele na kuwa na uhakika wa kujichotea pesa za serikali!
Ngoja tuwape muda TCRA labda wanasubiri wapate kibali kutoka mamlaka ya uteuzi ili waifungie Wasafi kwa blasphemy hii ambayo haijawahi kutokea toka tupate Uhuru!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.