Kumshutumu mtu bila ushaidi wa kutosha ni kuvunja sheria kwa sisi waamini ni zambi usikute na wewe una sababu zako weka visibitisho ili tuamini ujue jamii forums inasomwa na watu wengi kuliko unavofikiri nini mwandishi ata wewe unaweza kwenda uko ukatuambia nini kinaendelea
Apo ndo ujue hali si shwali check uzi ulivotulia pengine kila mtu ana shida na kazi au aliyo nayo haimtoshelezi pole ndugu kukosa kazi mjini ni azabu ata ya jela ndogo
Aisee kweli bora tuongozwe na wazenji wana hofu ya mungu kweli kweli uku kwetu bara wasanii wengi make hayo ya sabaya tu je na hao wengine tu tumeumia sana ndo mana mungu katuokoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.