Pole sana mkuu hao ndio wanawake, ukiwajua wanawake umeyajua maisha ni rahisi sana mwanaume kuishi na mwanamke asiye na kazi ila ni ngumu sana mwanamke kuishi na mwanaume asiyekuwa na kazi.
Sio kumsumbua tu tumeishapiga demu wako mwepesi kama maharage ya mbeya😂 Asante kwa kumshawishi bila ivyo wahuni tusingeteleza kama nyoka kwenye majani.
Achapiwe mara ngapi mwambie ukweli kakutana na vijana wadogo wanasimamia mpaka kucha ndio maana ana muona jamaa yetu mzee😂 vijana wadogo wanasimamia kucha kama wapo kwenye mashindano ya kugombania kombe la Dunia 😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.