Kutegemea na uhitaji kama ni tani1 basi ntaleta tani 1 kila week kama ni tani 2 basi nitaleta tani 2 kulingana na uhitaji na bei yenye maslai pia ata kama kg300 or 500 nisawa ntaleta kikubwa maslai
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka kuanzisha biashara ya samaki kwa kuchukua mzigo kutoka mwanza nakusambaza mikoani ila naitaji kujua ziadi kuhusi vibari na ushuru pia na nimikoa gani ina uhitaji sana wa samaki. Pia samaki nitakao kuwa nasambaza ni SATO na SANGARA
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka kuanzisha biashara ya samaki kwa kuchukua mzigo kutoka mwanza nakusambaza mikoani ila naitaji kujua ziadi kuhusi vibari na ushuru pia na nimikoa gani ina uhitaji sana wa samaki. Pia samaki nitakao kuwa nasambaza ni SATO na SANGARA
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutokana na mawazo ya watu wengi na kuamasishwa na clouds tv nikaamua kufanyia kazi mawazo yao yakutafta fursa
Niliamua kuingia kwenye kilimo cha kitunguu pamoja Changamoto nyingi nimekutana nazo lakin namshukulu mungu nimefikia hapa lakin natafuta soko mtu wakununua au kuniunganisha ili...
[emoji16][emoji23][emoji23] Duuh ili jamaaa jinga tokauzaliwe ndo umeiona nini pole siyo kosa lako hayo mandeg nenda moro utakutana nayo kila baada ya miezi mitatu siyu kutuletea mada ambazo azina kichwa wala miguu kwani umesikia tanzania kuna vta [emoji23][emoji23] fiklia kablq yakuposti upuuz
Duuuh yan uku wameitwa wanawake vidume vshafka kbra yao[emoji23][emoji23] mmmmh me ngoja nikae[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Sasa Wakuu yani mkaa kabisa mnajadili mada ya dogo janja na uwoya wakati wakati hapo hakuna ukwel wowote maana mbea mkuu sudy brown mpka leo ajui ukwel na haamin sas sisi tunajadili au tunatabili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.