Recent content by Clement paul

  1. Clement paul

    Aliyeshinda huu uraibu anijuze...

    Unachokifanya ni kibaya San ndgu,ni uchafu mkubwa.kwahyo tambua unalofanya umkosei zaidi mkeo wala ndugu za mkeo wala nani ako yoyte yule bali tambua hapo unayemkosea ni Mola wako aliyeharamisha zinaa ila haliyehalalisha ndoa. Kuna ugumu sana ukishadumbukia ktk zinaa,na zinaa ni deni brother...
  2. Clement paul

    Faida za vitunguu saumu kwa wanaume na jinsi ya kutumia

    Safi Sana ndugu, nakuunga mkono kwa asilimia mingi sana kwa kuwa nimekifatilia sana kitunguu swaumu na uwa nakitumia sana hata napopata magonjwa madogo madogo haya kama tumbo na mengineyo. Lakini njia nayotumia mimi ni kula kitunguu swaumu na kunywa maji mengi sana zaidi ya Lita mbili kwa kuwa...
  3. Clement paul

    Naishi na maumivu ya tumbo kwa zaidi ya miaka 14

    Tumia ndani ya wiki moja afu utatupa maendeleo yatavokuwa.dawa inayofaa ndani ya cku tatu lazima uanze kuona mabadiriko so wew Fanya hiyo dose kwa wiki moja,week ikiisha naamini majibu yatapatikana.Allah akujalie ndugu uwe sawa kama zamani.Ameen Ya Rabb
  4. Clement paul

    Naishi na maumivu ya tumbo kwa zaidi ya miaka 14

    Maji na vitunguu swaumu na matunda kama ukiwa na huo uwezo wa kila cku kupata matunda hata aina mbil au tatu itafaa..ila Maji sana tumia na vitunguu swaumu
  5. Clement paul

    Naishi na maumivu ya tumbo kwa zaidi ya miaka 14

    Nice mkuu kama hauna ilo tatizo jaribu kucheza na maji sana na vitunguu swaumu.naamini juu ya hiyo tiba ndugu yangu.fanya kwenda kwa huo utaratibu kama ukipata unafuu utatuletea urejesho humu maana yaweza ikawa solution kwako juu ya tatizo linalokuhusu.Fanya hivyo mkuu
  6. Clement paul

    Naishi na maumivu ya tumbo kwa zaidi ya miaka 14

    Hivi ndo inavotakiwa watu tuwe katika hii mitandao ya kijamii,watu cku hizi mitandaoni hatufanyi mambo socially kabisa.mtu akitoa wazo watu hawampi support hata ya mawazo na unakuta mtu katoa wazo zuri lenye faida.na hii mambo naiona sana humu Jf.humu kuna watu kazi zao kukatisha wenzao...
  7. Clement paul

    Naishi na maumivu ya tumbo kwa zaidi ya miaka 14

    Naam ndgu,na kama una vidonda vya tumbo usitumie vitunguu swaumu.
  8. Clement paul

    Naishi na maumivu ya tumbo kwa zaidi ya miaka 14

    Kwa asubuhi ukiamka tafuna punje mbili za vitunguu swaumu,baada ya hapo kaa hata kwa mda kidgo kunywa maji.mchana tenya Fanya hivyo tafuna punje mbili tulia mda flani ukipita kunywa maji na ucku sasa ongeza idadi ya punje hata mbili angalau ziwe punje nne tafuna vizuri tulia kidgo kunywa maji...
  9. Clement paul

    Naishi na maumivu ya tumbo kwa zaidi ya miaka 14

    Badirisha utaratibu wa ulaji,pendelea kutumia sana maji Mara kwa Mara unapokuwa home kunywa maji mengi sana,alafu mboga za majani fatilia upikaji wake zisiwe ni zenye kupikwa mda mrefu.mboga za majani zipikwe na dakika chache au kama utaweza pendelea mboga za majani zilizochemshwa tena kidogo...
  10. Clement paul

    Nimenusurika kubambikiwa kesi ya mauaji leo kituo kikuu cha Polisi Dodoma

    Dah aise pole sana ndugu,haya mambo yanaumiza Sana.pole kwa ilo tukio lilowasibu.Allah hawafanyie wepesi juu ya kuipata haki.#poleni sana
  11. Clement paul

    Jifunze jinsi ya kutumia 'Should', 'Could' & 'Would'

    Open WhatsApp group tht will be only for English learners bro...it'll help
  12. Clement paul

    Jifunze Kiingereza kwa muda mfupi

    You gud mkuu..liked it
  13. Clement paul

    Jifunze kiingereza

    Nice lesson
Back
Top Bottom