Hivi munapata wapi akili ya kusema Irani ameshinda? Wairani 600 wanekufa waisrael 24, Irani wamekufa makamanda wa jeshi na wanasayansi huo ushindi uko wapi?
Irani ikifanikiwa itayafanikisha na makundi inayoyafadhili, kwa hiyo Israel hawezi kukubali kichaa kumiliki panga. Korea kaskazini inayo kwa ajili ya ulinzi wake tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.