Recent content by Clemence Mwandambo

  1. Clemence Mwandambo

    Mzee Makamba Pole sana

    Ndoto za uraisi za January zinamuharibia mtoto wa Kikwete ndo maana kakatwa.
  2. Clemence Mwandambo

    Israel yaendelea kuua Wanasayansi na Makamanda wa Iran ndani ya Iran. Hii imekaaje Wadau?

    Hivi munapata wapi akili ya kusema Irani ameshinda? Wairani 600 wanekufa waisrael 24, Irani wamekufa makamanda wa jeshi na wanasayansi huo ushindi uko wapi?
  3. Clemence Mwandambo

    Kamanda Muliro atinga Kanisani Kwa Gwajima Ubungo

    WATANZANIA ni masikini na wanajiaibisha kwa umasikini wao. Tanzania ni taifa la laana, laana haitatoweka mpaka tutakapotoka kwenye makucha ya Nyerere.
  4. Clemence Mwandambo

    Kwa nini Korea Kaskazini haishambuliwi kwa kuwa na tishio la silaha za Kinyuklia

    Irani ikifanikiwa itayafanikisha na makundi inayoyafadhili, kwa hiyo Israel hawezi kukubali kichaa kumiliki panga. Korea kaskazini inayo kwa ajili ya ulinzi wake tu.
  5. Clemence Mwandambo

    Kanisa ni Moja tu Mathayo 16:18 Wewe ni Petro na Juu ya Mwamba huu nitalijenga Kanisa langu. Ile ya Gwajima ni Huduma ya Kiroho siyo Kanisa!

    Hakuna kabisa lilijengwa juu ya Petro. Petro amefariki miaka mingi kabla ya kuanzishwa makanisa.
  6. Clemence Mwandambo

    Ujio wa magari ya gesi na umeme yameifanya Saudi Arabia wafocus mapato ya Hija . Waislamu wanaitajirisha nchi inayomiliki dini yao

    Hata wanaposwali lazima waangalie uarabuni. Hao na wenye dini kwa nini lazima unifunze kiarabu ndo Uwe muislamu.
  7. Clemence Mwandambo

    Kagame, very smart and powerful president here in East Africa

    Munamsifia dikteta alafu huku Tanzania mnataka demokrasia si ndio. Basi tufute mfumo wa vyama vingi.
Back
Top Bottom