Recent content by Clear37

  1. Clear37

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Infinix hot 10 play.good condition, Gb32.AMH 6000 battery.Good camera no crack.(used almost good)price 125000 tsh.
  2. Clear37

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Status: searching for driving job Professional: van car Driver/private hire Educational status: Advanced level(form six) Experience: 6 years With valid zanzibar drivers license. Location: Zanzibar (most preferred) Address: Email; athumanizaidi@gmail.com Other skills : sales man,good English...
  3. Clear37

    Kwa wenyeji wa mwanza malimbe kuna chuo cha veta kizuri?

    Veta igogo shukia kituo Cha voil jirani na soko la mchafukoge ulizia hapo naonaga wanafundisha mechanics pia.
  4. Clear37

    Fuel Bay Attendant at Barrick

    Mkuu nipo mwanza huko Bulyankulu siwezikupata job za manual? Elimu yangu form six no any qualifications.(general labour)
  5. Clear37

    Natafuta kibarua chochote Mwanza

    Nipo mwanza pia kugumu balaa kwa ambao hatuna connection.
  6. Clear37

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wadau mwenye odds za betpawa please 🙏
  7. Clear37

    Ally Kamwe arudishwa kwenye nafasi yake kama kawaida

    Mganga wa Hajji alikuwa kashaanza kupata utitiri wa wateja wakimiminika,Sasa itakuwaje?;
  8. Clear37

    Siri za Mafanikio

    Namba 5.kuhusu misitu fafanua vizuri kivipi msitu uwe nasiri za mafanikio?
  9. Clear37

    Ipi Biashara nzuri kati ya hizi?

    Mkuu tuungane tufungue BUHONGWA center,weka 100k na Mimi niweke 100k tuanze na kuku,chips,kongoro,vitafunwa.check me if okey
  10. Clear37

    Wapi nitapata dagaa wa mwanza wa mafuta

    Sasahivi dagaa zinauzwaje sado Dar?
  11. Clear37

    Profesa Janabi: Bei ya sukari imepanda juu, take advantage

    Kaka fafanua tupate faida,chokaa hii hii ya kujengea nyumba?
  12. Clear37

    Mnaoishi Mabwepande au Chanika na kufanya kazi Posta mnaamka saa ngapi ili kuwahi ofisini?

    Huwa wanalala wamevaa viatu kabisa lile jogoo la kwanza wapo stand wanaanza kukimbizana na mabasi, yaani ni mwendo wa kukimbia Alfajiri, mchana na usiku wa manane. Niliwahi kusubiri gari ya Mbagala Hadi saa Tano usiku.
  13. Clear37

    Kwa tsh 50,000 naweza fanya biashara gani Zanzibar?

    Zanzibar maisha ni ghali sana hasa Bidhaa za vyakula ukitoa sukari kidogo.lakini vingine vyote vilivyobaki ni ghali sana,huku electronics na vyombo vya moto kama magari na pikipiki bei Chee.
  14. Clear37

    Je, unaweza kutoboa kimaisha (biashara) nje ya miji mikubwa kama Dar, Mwanza, Arusha, Mbeya na Dodoma?

    Hakuna kama Dar,huko mikoani michosho tu Yani Bora waajiriwa wenye uhakika wa mshahara wa mwezi,ila Kwa mtafutaji sikushauri mikoani Bora upambane Dar,maana hao vijana wa mikoani wenyewe wanapaota Dar kila siku,wanaamini ndoto zao zitatimia Dar,ila lazima uwe na focus nzuri hard working,nidhamu...
Back
Top Bottom