Recent content by claudymasop

  1. C

    Kwa haya, Natangaza rasmi kuukubali utawala wa Rais Magufuli

    us Usijipendekeze kwa chadema kwa sababu tunawajua chadema hawana akili kama hiyo.Na akili ya jiwe,ambaye ni m/kiti wenu imechanganyikana na kinyesi.Ndio maana hata nchi inaporomoka kila kukicha.
  2. C

    Kheri James awasha moto Arusha

    akili ya mwenyekiti wako imechanganyikana na kinyesi,Naona na nyie mmeambukizwa tayari.
  3. C

    Rais Magufuli ateuliwa mshindi wa tuzo ya Ukombozi Afrika, miundombinu, elimu bure vyambeba

    utapeli mtupu,tuelezwe nani au ni taasisi gani imeandaa hizo tuzo?huwezi kusema eti hatuwezi kuwataja tuliowashindanisha.nadhani uongo na utapeli huo utaaminiwa na mazwazwa tu.
  4. C

    Askofu Mkuu KKKT: Hakuna kiumbe/kiongozi yeyote atakayeweza kulitikisa Kanisa,hajazaliwa na hatozaliwa

    Mkuu hujaelewa mwanaume anae chekacheka anahitaji nini?
  5. C

    Mwenyekiti UVCCM Taifa, Kheri James azidi kuchanja mbuga

    CHAMA HICHO KIMECHOKA HAKINA JIPYA.WATENDAJI WAMECHOKA HAWANA FIKRA,HIVI NIULIZE KUNA NAFASI AU UTARATIBU WA KIKATIBA KWA MWENYEKITI WA UMOJA WA VIJANA WA CHAMA FLANI KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO?NI IPI NAFASI YA KIKATIBA YA MWENYEKITI WA UMOJA WA VIJANA WA CHAMA FLANI KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO...
  6. C

    Askofu Mkuu KKKT: Hakuna kiumbe/kiongozi yeyote atakayeweza kulitikisa Kanisa,hajazaliwa na hatozaliwa

    Tunamshukuru mtumishi wa Mungu kwa kuendelea kuiambia jamii ukweli.Na sote tunatakiwa kutambua ni kazi ya viongozi wa kiroho kukemea maovu pamoja na kusema iliyo kweli ya Kimungu.Ubarikiwe sana BABA ASKOFU.
  7. C

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Ila wenye akili na upeo hawamuoni kama unavyomouna wewe,sasa jitathimini upo kwenye kundi la wanaolambalamba wanaume wenzao na sifa asizostahili au ni binadamu mwenye kujua uhalisia na mwenye kusimamia misimamo sahihi na wasio na tabia za kujipendekeza kama za kwako.
  8. C

    Richard Kasesela na Mchungaji Peter Msigwa wararuana, kama Simba na Yanga

    KAMZODOA NANI SASA?MANENO YA KIKE HAYO?AU WE NI WA KIKE?SAMAHANI NILIJUA WE WAKIUME
  9. C

    Nimeamini upinzani nchi hii umepoteza mwelekeo

    Egnecious Nyamaza,huna cha kuwaambia watanzania ulichoandika ni upuuzi tu.Kwanza umesema umetokea Dodoma, sasa mi nadhan unyamaze kwa sababu huko kwenu karne hii bado mnahamasishwa kujenga vyoo. Sasa una ustaarabu gani wa kuwaeleza watu ulichoandika wakati bado mnajisaidia porini?Shame upon you.
  10. C

    Inawezekana Serikali ya sasa ndio inashika rekodi ya dunia ya kuumbuka ndani ya muda mfupi sana katika zama hizi

    Yaani mkuu ipo uchi kabisa,aibu kubwa kwa jiwe.Jiwe ni raisi wa hovyo kuwahi kutokea duniani.
  11. C

    Uongozi wa Yanga acheni kuhujumu timu ili fisadi aonekane wa maana!

    Una arguments za kitoto sana wew.
  12. C

    Huu hapa usaliti wa CHADEMA kwa Taifa

    Mbona wew unavyomsaliti mke wako husemi,kwann unasema tu kwamba chadema wamelisalti taifa.unajiadai kuandika kwa kirefu kweli kumbe ulichoandika ni maji taka tu.funga mdomo mchafu kama huna cha kuandika
Back
Top Bottom