Waziri Mkuu Majaliwa: Suala la mshahara ni siri ya mtu. Siyo lazima litangazwe hadharani

Asiye na Chama, nimesema naelewa mazingira ambayo wafanyikazi wanafanyia kazi,ikiwa ni pamoja na upungufu wa vitendea kazi.Lakini ni kweli kwamba mazingira ya kazi ndio tatizo tu,au kuna matatizo pia ya uzembe,lack of initiative,juhudi,weledi,
uaminifu nk.kwa upande wa wafanyakazi ambayo wangeweza kuya address ili kuongeza tija?Jibu ni ndio.Kama ni hivyo,basi watumishi waya address, ili serikali ipata enthusiasm ya kuongeza mishahara na kupandisha madaraja.
Kuna wafanyakazi wanajituma sana chini ya mazingira magumu! Kuna wazembe pia hapo sikatai tena wengi, lakini sijasikia serikali hasa wanasiasa wakisifu mfanyakazi hata siku moja eg wafanyakazi wa afya, wao wanawalaumu na kuwadhalilisha kupata kiki za kisiasa! Inauma sana sana!
 
Na moyo wa wafanyakazi unakufa zaidi pale ambapo wanasiasa wanaopiga blaa blaa ndio wenye maisha mazuri, wanaabudiwa na wanawapiga mkwara wafanyakazi na kufanya mahali pa kupatia kiki za kijinga!
Mfumo huu ndio mfumo wa dunia nzima kwa ujumla,uwepo wa watawala na watawaliwa,ingawa nakubaliana na wewe,there is room for making it more efficient and better.Kwa bahati nzuri I can see Magufuli trying to do just that.
 
Yaani wewe kichwa box kabisa,kuna watu walikuwa na bidii sana kazini,walikuwa wanajituma mno lakini awamu hii wameamua kuwa na mgomo baridi,hakuna tija kwenye njaa.
May be kuna mgomo baridi,ila naamini kama mgomo baridi upo, unaletwa na crackdown ya vices mbaya walizonazo wafanyikazi,ambayo ni approach sahihi, wala sio tatizo la mishahara midogo na mazingira mabaya ya kazi.Mbona mgomo baridi unaodai upo hatukuusikia kwenye awamu zilizopita?
 
Mikataba mnafanya ya siri.

Mpaka mishahara?

Wafanyakazi wa serikali wanalipwa na wananchi.Kwakodi ya wananchi.

Sasa unapotaka kufanya mshahara wa mfanyakaziuwe wa siri kwa bosi wake mwananchi anayemlipa huo mshahara, unafanya kituko.

Ndiyo maana mnyamwezi anaweka mpaka mshahara wa rais hadharani.

Hapa kuna orodha ya wafanyakazi wa Ikulu ya Marekani, kwa majina, na mishahara yao.

Sisis tunafanya siri kuanzia mikataba mpaka mishahara.

https://www.whitehouse.gov/sites/whitehouse.gov/files/docs/disclosures/07012017-report-final.pdf
 
Mikataba mnafanya ya siri.

Mpaka mishahara?

Wafanyakazi wa serikali wanalipwa na wananchi.Kwakodi ya wananchi.

Sasa unapotaka kufanya mshahara wa mfanyakaziuwe wa siri kwa bosi wake mwananchi anayemlipa huo mshahara, unafanya kituko.

Ndiyo maana mnyamwezi anaweka mpaka mshahara wa rais hadharani.

Hapa kuna orodha ya wafanyakazi wa Ikulu ya Marekani, kwa majina, na mishahara yao.

Sisis tunafanya siri kuanziamikataba mpaka mishahara.

https://www.whitehouse.gov/sites/whitehouse.gov/files/docs/disclosures/07012017-report-final.pdf

Mwaka wa 11 huu tokea niulizie mishahara ya viongozi wetu humu na mpaka hivi sasa hakuna jibu la uhakika wala kuridhisha.

Kinachovunja moyo zaidi ni kwamba hicho alichokisema Majaliwa ndo mawazo ya watu walio wengi!

Watu wetu hawa hawaelewi kabisa dhana ya utumishi wa umma na nani ndiyo bosi wao.
 
Migomo ipo sana kwa ajili ya kumkwamisha mwajiri.
Mishahara sio midogo ila tangu 2015 hakuna kupanda madaraja wala nyongeza ya mshahara.
Acha tu tuendelee kumfanya achukiwe na wananchi.
Hamtafanikiwa,infact badala ya kumchukia Magufuli,
wanawachukia ninyi.
Wananchi wanajua kwamba ipo mbinu chafu mnayoifanya wafanyakazi baadhi,sio wote, ili kumfanya Magufuli achukiwe na wao,kwa sababu ya mambo mazuri anayowafanyia, ambayo yamepunguza tonge lenu!
 
Siku ya Mei mosi rais wa nchi akiwa anajibu risala ya wafanyakazi na kutoa hotuba kwa wafanyakazi wote nchini alisema kinaga ubaga akiueleza umma wa watanzania kwamba pamoja na mambo mengine "hataongeza mishahara mpk hapo miradi aliyoanzisha itakapo kamilika".

Lkn leo PM Majaliwa akijibu maswali ya papo kwa papo kama ilivyo kawaida ya siku za alhamis amesema serikali huwa inaongeza mishahara kimya kimya kuogopa bidhaa kupanda bei.

Kauli hii si tu imeustua umma wa watanzania bali pia inazua maswali mengi sana kama ifuatavyo:-
  • Je, wafanyakazi waliandika ile risala yao kuuhadaa umma?
  • Rais au waziri mkuu, mmojawapo hajui kinachoendelea kuhusu mishahara ya wafanyakazi?
  • Pm Majaliwa katumwa na bosi wake kusema aliyoayasema leo ili kutuliza hali ya hewa bungeni?
  • Je, PM hakubaliani na rais kusitisha mishahara hadi miradi ikamilike?

Kama yooote hapo juu si kweli, kann wanatoa kauli zinazokinzana juu ya mishahara ndani ya muda mfupi hivi??

NB. Tuombe wafanyakazi ama bosi wa chama cha wafanyakazi mtoke/atoke hadharani kuthibitisha ama kukanusha kauli ya PM Majaliwa.


IMG_20180607_231726.jpg

 
Jiwe lishasema kama kuongeza mishahara haongezi tu-elfu kumi kumi ,huyu nae anatuyumbisha tena
 
Hili suala ni two ways traffic, unapomwambia mtu aongeze tija lazima umpe vitendea kazi vyote vya kufanyia kazi ili uwe na uhalali wa kudai tija. Wafanyakazi wengi wa serikali ni waalimu na watumishi wa wizara ya afya...... nenda kwenye maeneo yao ya kazi ujionee hali halisi halafu uniambie hiyo tija itaongezwaje?
Ni kweli ni two way traffic; lakini hata kwenye biashara yako binafsi unamwongeza mtu mshahara unapoona na kuridhishwa na utendaji wake wa kazi, maana yake unaona tija na ufanisi kwenye kazi. Kuidai serikali kuongeza mishahara wakati utendaji kazi ni ovyo hakuna logic. Watu tumegeuza sehemu za kazi kuwa vijiwe vya kupigia soga na kufanyia madili bila kufanya kazi; lakini tunadai nyongeza ya mishahara kila siku. Kwenye uchumi wa masoko huria (free market economy) malipo yoyote hutegemeana na production.
 
Waziri Mkuu mwoga hajawahi tokekea na ni kauli ya uwongo kwani hakuna nyongeza zaidi ya ile ya mwaka ya annual increment ya sh 9000->kulingana na scale ya mtumishi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom