Kheri James awasha moto Arusha

Kheri James awasha moto Arusha

Tangu lini, kila siku unakitukana chama nyoosha maelezo.
Ndo tatizo hilo la watanzania,kuwa ccm si upongeze hata baya,Ile serikali tumeiweka sie madarakani tumewapa na kodi zetu watuongoze wakizutumia tofauti na matakwa yetu ni lazima tuwaweke mtu kati,hiyo ndo siasa.Sasa wewe hata baya unaoongeza tu
 
Tangu lini, kila siku unakitukana chama nyoosha maelezo.
Hizo id feki mkuu kuna watu wana id nyingi sana kila id na kazi yake.Mfano
1.id ya ccm
2.id ya upinzani
3.id ya kujiweka wazi
n.k
 
Ndo tatizo hilo la watanzania,kuwa ccm si upongeze hata baya,Ile serikali tumeiweka sie madarakani tumewapa na kodi zetu watuongoze wakizutumia tofauti na matakwa yetu ni lazima tuwaweke mtu kati,hiyo ndo siasa.Sasa wewe hata baya unaoongeza tu
Nimekuwa nafiatilia comments zako tokea kile kipindi ulikuwa umeweka avatar ya CCM kama unataka kujiunga labda kwa sasa.
 
Mimi ni kada wa ccm na sijawahi kukihama,ila kwa awamu hii sina morali kabisa miradi yangu yote huyu msukuma wa chato kanyofoa mirija,nimebaki nalia tu
Hulii bali unaisoma namba na bado
 
Mbeya na Arusha lazima chadema kifutike.
Kwa akili hizi lumumba ndio mtafutika
Screenshot_2018-07-18-11-57-57-1.jpg
 
Bila Tume ya uchaguzi na Police hawa jamaa ni wepesi kinoma
 
Back
Top Bottom