Recent content by claudiomasopi

  1. C

    Mzee Frederick Tluway Sumaye ajiondoa CHADEMA. Asema mambo yamembadilikia CHADEMA baada ya kuchukua fomu kugombea Uenyekiti Taifa

    Roving Journalist, Aende zake tu amekaa CHADEMA hatujaona impact yoyote ile, CCM wenyewe walimkataa atulie alee wajukuu
  2. C

    Mzee Sumaye ameponzwa na Kubenea

    Hutaweza kupandikiza migogoro kwenye chama cha CHADEMA, mambo hayo huwa mnayafanyaga huko kwenu. Kama huko kwenu CCM mna demokrasia na wewe ni mwanaume kweli chukua fomu ya kogombea Urais uone utakavyotomaswa tomaswa.
  3. C

    Kwanini Bashiru Ally anaficha kilichompeleka Zanzibar ?

    WE NDIO UEMESHIKWA NDIO MAANA UNAPIGA KELELE.HUJUAGI WAKIKE WAKISHIKWAGA MAENEO KAMA HAYO WANAPIGAGA KELELE ZA NANI.......WE UNAITWA MARIAMU AU AISHA?
  4. C

    Vigogo waangushwa uchaguzi CHADEMA

    Pandikizi ni wewe.
  5. C

    Njama za kuwadhuru Wakuu wa Wilaya watatu zabainika. RC na Kigogo wa Polisi wahusishwa

    BASHITE BWANA,NI KILAZA WA HIGH CLASS.BASHITE ULIAMBIWA UACHE
  6. C

    Hali ilivyokuwa katika Jiji la Dar wakati vijana CHADEMA wakimchukulia fomu Mbowe

    u Unaharisha au unaongea?eti wewe mariamu hebu nijibu
  7. C

    Askofu Dr Stephen Munga amuonya Kadinali Pengo: Kunyamaza wakati mwingine ni hekima

    Tunakushukuru Baba askofu kwa neno la faraja,ILA VIONGOZI WA DINI WA TAIFA HILI WAJUE KWAMBA WANANCHI WAKISHAONA KWAMBA VIONGOZI WA DINI SIO FARAJA KWAO TENA AU SIO WATETEZI TENA,NA KWA MAANA HIYO WANANCHI WAKAONA VIONGOZI WA DINI WANATETEA MAOVU,BASI TUJUE HUO UTAKUWA MWISHO WA TANZANIA YENYE...
  8. C

    Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kumtunuku Rais Magufuli Shahada ya Falsafa

    Da ndugu watanzania tulipofika sasa ni mapabaya sana.historia za watu kama wakina musolini,hitler,na wengineo walitumia njia ya makundi mbali mbali kuwasafisha na kuwaabudu
  9. C

    Chonde Kanisa Katoliki, historia inatuhukumu

    UMEONGEA UPUUZI.TUMEKUDHARAU KABISA.HUFAI KWA MAENDELEO YA TAIFA HILI.TUMBO NDIO LIMEKUFANYA UONGEE HUU UOZO.
  10. C

    Chonde Kanisa Katoliki, historia inatuhukumu

    N Ni aibu kwa kanisa katoliki kusifia yanayoendelea nchini.Ruwaichi waeleze watanzani kama ni msimamao wa kanisa katoliki au ni mameno ya pengo.
  11. C

    Roma Mkatoliki amwibua Mwakyembe, adai hana elimu ya kumshauri yeye mwenye digrii 4. Kama anapenda siasa aanzishe chama cha siasa

    Mlaleo, Halafu kwa kuongezea Roma ni mwalimu na ni graduate yule. Mwambie mzee atulie dawa iingie vizuri.anavyojitingisha hivyo sindano itavunjikia ndani
Back
Top Bottom