Kudai haki siyo kwa style hiyo ndugu yangu wangendaa maandamano ya amani na mabango na wawe na destination za kukutania Jesshi lingetulinda ndo mana mgunda kasema ni uhalifu maana maandamano hayakua organize
Nashangaa watu wanalamika mbona vyombo vya habari na watu wengine wapo kimya na wakati kitendo kilichofanyika ni uhalifu.
1. Kuchoma vituo na mabasi ya mwendokasi ambayo hata wewe unayatumia shame on you.
2. Kuchoma sheli za mafuta wakati wewe binafsi unazitumia shame
3. Kuvunja na kuiba...
Mengi umesema ukweli don't impress women kama utafanya hvo siyo vibaya ila don't expect positive impact kutoka kwake maana expectations ndo zinazotuumiza fanya kwa mapenzi tuu na siyo kutegemea chochote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.