Recent content by CLAUD1965

  1. C

    CHADEMA Kumuondoa Lema Arusha

    si kweli mzee, mi ni mkazi wa Arusha mjini,MH Lema 2010 hata mimi nilimpa kura ila 2015 hapati tena ,si mimi tu ni watu kibao hatumpiiiiiiiiiiiiii tena hakuna alichofanya Arusha kumrudishia ubunge ni zero wisdom yule.
  2. C

    Nape: CCM haihitaji mgombea wa kusafisha kwa "dodoki"

    Acheni kupotosha ,ni wana ccm gani wana imani na mamvi?alichosema Nape ni very clear,ccm hawaweza kusimamisha mtu ambaye ana kashfa kibao,kuna wapinzani nao wanataka waingie ikulu itakuwa rahisi sana kwao kuchukua nchi endapo huyo mamvi atasimamishwa kitu ambacho ccm hawako tayari kitokee,ni...
  3. C

    Kwanini Maalim Seif hakuwepo Mbagala!?

    kwani yeye kasema alikuwepo
  4. C

    Kumradhi Mh. Lema, Mlango uloingilia tuliuacha wazi na sasa waweza toka tu

    kwa vile wewe ndie utapiga kura zoteeee, ivi mnafikiri wananchi wa arusha ni wapumbavu kiivyo awe mbunge kwa kipi alichofanya since 2010-2015 ni zero kabisa, nyie vipi bwana.
  5. C

    Hotuba ya Kikwete kwenye sherehe za miaka 38 ya CCM imebeba ujumbe mzito

    kutaka si lazima kuwa,mfano unaweza kutaka kuwa na gari zuri lakini ukashindwa hicho ni kiswahili tu wabongo mbona tunakoseaga sana,rais si malaika bandugu
  6. C

    Hiki kitu kimeniuma sana ndungu zangu wana UKAWA

    walienda kujificha kwenye magari baada ya kuona polisi wamepamba moto hoja ya msingi hapa ni kwanini hao jamaa wengine 30 hawajawekewa mawakili wa kuwatoa ndani kama proff ua wao si watu.
  7. C

    Rais Kikwete afungua rasmi Majengo ya ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa Jijini Paris

    Lakini mbona wewe si mlipa kodi,inakuwa vp zinakuwa hela zenu.
  8. C

    Kawambwa anaharibu ubora wa Elimu Tanzania

    kwani alikuta kuna ubora pale elimu upi mkuu
  9. C

    Hoja binafsi: Vodacom wajadiliwe Bungeni, wanahujumu wananchi

    VODACOM wamekuwa wezi wa mchana kweupeeeeeee nilisikia kuna tume inashughulikia wizi kama huu, ivi hao jamaa wanalipwa mshahara for what. haka kanchi kila mtu anataka kumwibia mtanzania myonge,mimi juzi tu niliibiwa sh 500 na hawa hawa vodacom wakanipa no na kwamba nitashughulikiwa cha ajabu...
  10. C

    VIDEO: Prof. Lipumba na wafuasi wa CUF wakipata kipigo

    unashangaa Polisi mbona hushangai wauaji waliojaa mitaani wanaua kila leo albino na jamaa zetu wengi tu,mi naona poa tu.sijaona mtu akifa hapo ni vipigo vya kawaida kabisa kuweka displine mtaani.
  11. C

    Wagombea ndani ya CCM ni patashika

    Lowasa hatakatwa jina kabisa ni kuwa hatachaguliwa na wajumbe wengi.
  12. C

    Ukistaajabu ya Escrow utaona ya Mwakyembe

    una uhakika mkuu na hiki unachoandika hapa au ndo majungu ya sisi wabongo
  13. C

    Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

    Shida ni kuwa Lowassa ni mwizi
  14. C

    Lipumba: Kiporo cha Kikwete kimeanza kuchacha

    weka picha baba picha tu
Back
Top Bottom