Recent content by Clarity

  1. Clarity

    JamiiForums Tanzania Tido Mhando: Kuna Haja Gani ya kufanya Kipindi Cha Michezo Saa Sita Kwa Siku

    Ni kama vile ukishazeeka uwezo wa kufikiri unapungua Mbona.kuna redio na TV ni Kuongelea Dini kila siku,nyinginw kupiga muziki kila siku
  2. Clarity

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Uwekwe utaratibu wa kuweka Tozo kwa magari yanayoingia Katikati ya Jiji

    Nikimsikiliza huyu kuna kipindi ananifanya niamini uchawi upo
  3. Clarity

    JamiiForums Tanzania Nimekutana na kitu cha ajabu sana

    Itabidi tuitafute hiyo Nombo hapo tukimuona ndio tuamini kama bado yupo
  4. Clarity

    JamiiForums Tanzania Sehemu gani nzuri ya kula bata Igunga (Tabora)

    Nzega nayo mjini?
  5. Clarity

    JamiiForums Tanzania Morogoro Road kuna foleni leo hatari. Kama sio lazima usipite!

    Mshana kulikoni oil imemwagika?
  6. Clarity

    JamiiForums Tanzania Tume ya Jaji Chande: Tokea tulipowasilisha ripoti, tumepokea simu zaidi ya 300 za matusi

    Naomba namba Yao nami niwaporomoshee ambayo hawajawahi hata kuyasikia
  7. Clarity

    JamiiForums Tanzania Shenena ya Kemikali hatarishi yamwagika barabara kuu ya Mikumi jirani na bwawa la Mindu

    Miaka mingi naona sulfur ikisafirishwa hivi kuelekea kwenye migodi Kuna uzembe wa Hali ya juu kwenye kusafirisha chemicals
  8. Clarity

    JamiiForums Tanzania Msemaji Mkuu Wa Serikali Gerson Msigwa awaita walipa kodi 'Nguchiro'. Ni kiburi cha aina gani hiki?

    Anasemaje huyo Msigwa... tumemkosea nini?
  9. Clarity

    JamiiForums Tanzania Yasemekana mwili wa hayati rais mstaafu wa Zambia, Edgar Lungu umeibiwa na wasiojulikana

    Afrika kama Afrika Ni kama Comedy Channel
  10. Clarity

    JamiiForums Tanzania Hivi huwaga kuna biashara gani inafanyika pale?

    Polisi hupita kuchukua posho kwani wanajua kinachoendelea pale
  11. Clarity

    JamiiForums Tanzania Kilio cha Kigwangala

    Kila mtu atachanganyikiwa kwa wakati wake
Back
Top Bottom