Recent content by Clarity

  1. Clarity

    Hivi ni vifaa muhimu kuwa navyo nyumbani kwako

    Ninavyo vyote na ziada ila mafundi wa kibongo sasa Usipokuwa makini wanapita navyo
  2. Clarity

    Ajidai muhudumu wa basi na kuibia abiria

    Dereva na mhudumu halisi walikuwa wapi? Huduma kwa wateja nchi hii ni tatizo Mhudumu halisi anatakiwa kuwepo muda wote abiria wanapokuwa kwenye basi
  3. Clarity

    Bilionea Lugumi kuhudhuria ‘Kikao cha Wanaume’ April 2, 2026

    Yaani ujingaujinga kila sehemu...nchi ina maujinga Sana Tu Halafu eti unaenda kulipa kiingilio Shs. 50,000
  4. Clarity

    Je wakati Yesu anazaliwa shetani alikuwa amefungwa?

    Inabidi uwe na Imani kuelewa haya mambo Kwenye andiko hili nikiri nimetoka kapa Nitarudia kusoma wenge la Leo Idd au sio Idd likiisha
  5. Clarity

    Ushauri: Wasanii punguzeni mapicha na video kwenye misiba, mnakuwa vituko

    Nadhani ni msiba wa Ssebo mtangazaji wa EFM
  6. Clarity

    Unahitaji sakafu tarazo imara na ya kisasa?

    Ungeweka bei hata kwa square metre kwa faida ya wote Mie nimependa ila naomba kujua bei
  7. Clarity

    Magonjwa hayaishi kwa kula mavyakula ya hovyo kama haya

    Mbwa alipita nazo mtoto akawa anamfukuza huku akiongea maneno hayo😂😂😂
  8. Clarity

    Kifuani nahisi kama kuna kitu nimeenda hosptal wakaniambia ni gas tu

    Huyu ni mgonjwa mgonjwa kila siku kama Mkuu Min-me alivyoainisha Akafanye uchunguzi wa afya
  9. Clarity

    KOROSHO KOROSHO KOROSHO TSHS 25,000 PER KGS GRADES NO. 1 DIRECTLY FROM MTWARA-TANDAHIMBA 0615326654(Whatsapp and Normal Calls)

    Kilo moja shs 25,000 Nusu kilo shs 12,000 Bora nichukue nusu mbili kwa hesabu za shule ya msingi naona kama nitasevu buku
  10. Clarity

    Phone4Sale Pata simu kwa bei nafuu

    CPU: Intel Core i5/i7 H-series or AMD Ryzen 5/7 H-series ✔ RAM: Minimum 16 GB (upgradeable if possible) ✔ GPU: Dedicated NVIDIA RTX 3050 or RTX 4050 (helps with 3D and shaded views) ✔ Storage: At least 512 GB SSD (fast project and app loading)
  11. Clarity

    Weka Oda Yako Ya Samaki Kilo 9,500/= tu.

    Au ulikuwa unatania maana hujibu maswali
Back
Top Bottom