Mkuu naelewa concern yako. Kawaida hao unaowaita wakubwa ndio decision makers lakini kazi yote ya ukokotoaji hufanywa na technical team. Wakuu wanapelekewa tu kuapprove. In this case wakuu wameshakubalina mambo ya msingi. Hatutegemei sasa wao wakae na macalculator waanze kupiga mahesabu mkuu...
Hapo kwenye mataa ya barabarani umeharibu. Hata ukiwa mwenyewe kwenye mataa ukivukaa Kabla hazijaruhusu utakuwa umekiuka sheria za barabarani. Na fine 30000 itahusika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.