Recent content by Citizen Kane

  1. C

    Msemaji wa Serikali: Malipo ya Trillioni 400+ za kodi, Barrick imekubali kuketi na kamati nyingine ili kujadiliana..

    Mkuu naelewa concern yako. Kawaida hao unaowaita wakubwa ndio decision makers lakini kazi yote ya ukokotoaji hufanywa na technical team. Wakuu wanapelekewa tu kuapprove. In this case wakuu wameshakubalina mambo ya msingi. Hatutegemei sasa wao wakae na macalculator waanze kupiga mahesabu mkuu...
  2. C

    Kampuni ya Bombardier imeuzwa kwa Airbus

    [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  3. C

    Kwanini Wamarekani walimzika Osama baharini?

    Well. Atleast they got their man.
  4. C

    Mke wa Filikunjombe aandika ujumbe mzito akiadhimisha miaka miwili ya kifo cha mumewe

    Siku za kulia zimepita. Atamuenzi kwa kukumbuka mazuri na kumuombea misa kama alivyofanya.[emoji120]
  5. C

    Kwanini Wamarekani walimzika Osama baharini?

    The aim was to wipe him and his "legacy" of the face of the earth. Like he never existed.
  6. C

    Tanga jiji la kishamba sana, nashindwa kuelewa kwanini mkoa huu ulipewa heshima ya kuitwa Jiji

    Kanishangaza sana huyu jamaa. Anaona kukiuka sheria za barabarani ni sifa[emoji35] [emoji35]
  7. C

    Tanga jiji la kishamba sana, nashindwa kuelewa kwanini mkoa huu ulipewa heshima ya kuitwa Jiji

    Jiji lolote walikostarabika utasubiri mataa. Hata kama upo mwenyewe
  8. C

    Tanga jiji la kishamba sana, nashindwa kuelewa kwanini mkoa huu ulipewa heshima ya kuitwa Jiji

    Hapo kwenye mataa ya barabarani umeharibu. Hata ukiwa mwenyewe kwenye mataa ukivukaa Kabla hazijaruhusu utakuwa umekiuka sheria za barabarani. Na fine 30000 itahusika
Back
Top Bottom