Inaonekana hujui unachokiongea fanya uchunguzi kwa waumini wa imani ya Kikristo kabla ya kuleta uzi hapa by the way Biblia ina sehemu mbili Torati ambayo ndo agano la kale na Injili ambayo ndiyo agano jipya...Kabla ya kuleta hoja hakikisha unajua mada yako usije kupotosha umma
-Project management
-Data entrant
Au nyingine yeyote ifananayo na hizo ikipatikana naweza kufanya. Nina kichwa chepesi naelewa haraka nikielekezwa namna ya kufanya kazi ntaifanya.
HAbari wakuu,
Natafuta kazi
Nipo Dodoma
Binti wa miaka 26
Elimu: Bachelor degree in project management
Experience: 1 year (as Data entrant)
Nina uwezo mzuri wa kutumia computer
Ahsanteni.
Kila mtu na atoe vile anavyoguswa moyoni mwake si kwa lazima wala si kwa huzuni..kama hutaki kutoa sadaka usitoe huku unanung'unika hujalazimishwa kama huna tulia...Pia vijana mkumbuke Mungu hadhihakiwi
Kama mtu unaona sheria za kikristo huziwezi hamia dini unayoiweza uzuri wakristo hatulazimishagi mtu awe mkristo wala hatung'ang'anii watu, walaa anayehama hatishiwi kuuwawa...sheria hatubadilishi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.