Recent content by Chupuu

  1. C

    Ni akili ama matope ? Unasomesha mtoto shule za ada kubwa anaishia kuwa Winga , sababu wewe mzazi huna kampuni wala biashara yoyote ya kumrithisha

    Hili ni suala muhimu na la kimjadala sana, wazazi wengi wanao na waliosomesha watoto wao shule za gharama ni watumishi wa umma na wafanyabiashara kwa wale walikuwa na bahati kutoka familia za biashara unawakuta kwenye baishara za wazazi hala ula kwa wale watoto wa watumishi wa umma na parivate...
  2. C

    Naomba ushauri: Simu gani nzuri ya Samsung kwa bajeti yangu

    Fanya kutafuta samsung J7 prime finger print,4G, Charge fresh no betri heating camera nayo siyo mbaya nilinunua miaka miwili iliyopita kwa 450k kwa hiyo unaweza kuipata kwa bajeti yako
  3. C

    Afande Anthony wa kituo cha Chalinze akamatwa na magunia ya bangi akiyasafirisha kwa gari binafsi

    Nakubaliana nawe Wanakera sana haswa pale unapokutana na ambaye anakuintimidate kwa issue ya kijinga uingie kingi.
  4. C

    Je ni sahihi kutolea mkopo fungu la kumi?

    Pale panapotoka ile kodi ya mapato ndo panapotoka fungu la kumi. Sasa uje uniambie kodi inatokaga kwenye mtaji .Na kama ukifanikiwa kuulipa huo mkopo hautaitaji kuutolea fungu la kumi kwa umeulipa kutokana na mapato ambayo tayari ulikuwa unayalipia zaka au kodi. Ni jambo rahisi tuu wewe ukikopa...
  5. C

    Maharage ya njano ni GMO?

    Wee jiulize swali moja tuu umewahi kuona GMO yoyote ikiwa adimu na bei ya juu...? Sifa za kibiashara ya mazao ya GMO ni wingi na size ikiwa na maana wingi - vinasaba ya uzalishaji vimesetiwa hivyo au muda wa kukomaa umesetiwa ,pili saizi ya kitu kwa wanyama, matunda ,na hata mimea.Na pia...
  6. C

    Mliopanda mlima Kilimanjaro hebu tuelezeeni ugumu kufika Uhuru Peak

    Miongoni mwa viaapo nilivyokula ni kufanya kazi kama Guide wa mlima. ukiwa huku chini kupata usingizi kwenye joto la nyuzi 16 bila kujifunika ni vigumu ila pale mlimani 4000+ kutoka usawa bahari unasinsia usingizi ule maharagwe ...ha aha ha ah
  7. C

    Mliopanda mlima Kilimanjaro hebu tuelezeeni ugumu kufika Uhuru Peak

    Kwa kweli siyo lelemama Katika maisha yangu yote sikuwa kutembea kwa Masaa 24 mfulululizo hii ilinikuta mlima kilimanjaro nikiwa ma rafiki zangu wawili. Hii ilitokea kipindi tunasoma Shahada ya usimamizi wa wanyapori kwa chuo ni cha vitendo kupanda mlima ni sehemu ya masomo ikiwa ni lazima kwa...
  8. C

    Tarakea high school

    kwambaa tukikwambia haifai..? utafuta uhamisho..? we jiaandae adavance hakuna shule mbaya ni wewe na juhudi zako jua tu ya kwamba shule ni kongwe kiasi chake na imeshatoa watu kibao siyo shule mpya ina Advance ni zaidi ya miaka 15 sasa.Ni mchanganyiko na pia ina o level . Binafsi nimesoma o...
  9. C

    Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    https://www.livescience.com/amp/34443-deadliest-snakes-most-venomous-snakes.html
  10. C

    Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    Kwa afrika koboko number one but not in the world hata channel 5 wameshapost hivyo na wataalam wa mambo tukawaeleza
  11. C

    Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    Not true ...kasome tena kuna nyoka wewe jangwani huko
  12. C

    Shinikizo la damu ladaiwa kusababisha kifo cha askari aliyefumania

    Amefumania kwa presha amefariki na mafao anayaacha anakula mwanamke na mchepuko kwa starehe
  13. C

    Taaluma ya masuala ya sumu(Toxicology) inasema hivi.....

    Ecotoxicology ni kitu kingine na anachoongea jamaa... maana hapo utakuwa unaongelea maswala ya sumu na ikolojia kwa mfano DDT.
Back
Top Bottom