Baada ya kupitia koment za wadau wengi nimegundua kwamba sikuhizi sisi ni 'dads' na sio fathers.
Yaan tunashindwa kusimamia malezi mazuri ya watoto eti kisa watanuna? No way, ndio maana tunalalamika maadili mabovu ya watoto wa sikuhiz kwasabab sisi wazaz tunawaogopa watoto
Tubadilike.
Mo tech ni moja Kati ya M cee ambae anaudai hela nyingi muziki hii, Ana hits nyingi sana in short ni moja Kati ya Mcee wangu wa3 wakali kubless bongo fleva
Aisee, nipo kwenye hiki kipindi mkuu ni noma sana, nilipata vihela nimeweka shambani mambo yamebuma napitishwa kwenye msoto wa hatari. Imefika hatua simu za ndugu naziangalia tu, familia ya mke na watoto wa 2 hapa napambana hali ikizidi kuwa hivi narudisha madogo kayumba. Wakuu usiombe uwe...
Ni kweli kabisa mkuu, kuna ndugu yetu mmoja wakati tunakuwa ndio alikuwa kama role model wetu, alikuwa mnyamwez hatari dah sijui nn kilitokea kwa yule jamaa. Alibadirika akawa mtu wa kushinda kwenye vilabu vya pombe baadae akachanganyikiwa kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.