Recent content by Chunda

  1. Chunda

    Monduli: Waziri Jumaa Awezo akuta maji hayatoki kisa Sh. elfu 50, amtumbua Meneja mbele ya Wananchi

    Kuna kazi kubwa sana. Mheshimiwa Rais anahaki ya kuwa mkali. Mijitu ya ajabu kumbe bado yamejaa
  2. Chunda

    TEC: Mipasuko kwenye jamii Husababishwa na Watu fulani kujiona bora zaidi na wako juu ya Katiba na sheria

    Umefanya vyema kulitukana. Hili lijamaa limeshiba dhuluma mpaka limevimbiwa sasa linahemea juu juu tu. Halijui Dunia inahitaji nini na inakwenda wapi. Limekuwa kipofu na halisikii, linakashifu mambo muhimu likilinda ujinga tu.
  3. Chunda

    Tuweke siasa pembeni, lugha ya Kiingereza bado ni muhimu sana kwa ulimwengu wa sasa

    Mwanzo hawa waunguana walisema wangetembea na wakalimani lakini ikaonekana ingekuwa mbaya zaidi. Wazo zuri likawa ni kuthamini chako. Hili wazo likaonekana linafaa kiswahili kikapewa nafasi kubwa. Kama mtu anathamini chake basi ingekuwa na maana nzuri kama hotuba ingekuwa ni kiswahili, hata...
  4. Chunda

    Mzee Butiku: Hili la Rais kutoka au kutotoka ni la utaratibu

    Ghafla TAIFA lililokuwa linaonekana kama taifa KUBWA leo linapuuzwa na DUNIA na wajinga wachache wanachekelea.
  5. Chunda

    Corona: Afrika CDC yaipa onyo Serikali ya Tanzania

    Mtu akifanya vituko vya kshangaza kila mtu sidhani kama mtu huyu anaweza kujidai kuwa ana uwezo mkubwa. watu wenye uwezo mkubwa wa kuongoza wanapendwa na majority na kuchukiwa na minority. Hapa kwetu ni kinyume chake. mangi yanayozungumzwa au kutendwa yanashangaza wengi, ni ajabu sana. Labda...
  6. Chunda

    Rais Magufuli: Nitaheshimu ukomo wa miaka 10 ya Urais kulingana na Katiba ya Tanzania

    Kama atafanikiwa kuondoka kwa mujibu wa katiba iliyofuatwa na maraisi watatu waliotangulia itakuwa heri. Mtu mmoja akikaa madarakani hata kama angekuwa mzuri na mkamilifu kama malaika huwa anachosha. Nina imani hata sasa kuna zaidi ya 50% ya wananchi waliokwisha kuchoshwa, alafu bado kuna hii...
  7. Chunda

    Askofu Mwamakula: Serikali iache kuendesha nchi kwa misingi ya ubaguzi

    wajameni, mbona mnataka kutesa majeshi yetu? Bado mnatamani kuwaona wakiandamana kwa niaba ya RAIA? Maandamano ya amani ni MARUFUKU, ila maandamano ya kusifu viongozi bila shaka yanaruhusiwa
  8. Chunda

    WHO inatakiwa izijibu hoja za Rais Magufuli kwa umakini mkubwa. Tropical diseases kama TB, Malaria kwanini hazina chanjo na zinaua sana?

    Mungu aliruhusu jambo hilo kutokea ili waTZ watoke usingizini na kuchukia ujinga. Utatawaliwa na mtu yeyote wa sisiem hata kama hana akili sawasawa hiyo ni lazima penda usipende siyo ombi. Sisiem itatawala tanzania mpaka mwisho wa dunia
  9. Chunda

    Kwanini Toyota wanapanga kusitisha kuzalisha V8

    Tanzania bado imejaa viongozi wa kishamba. Kenya hakuna kiwewe na V8 kwa viongozi. Sehemu kubwa ya magari ya viongozi wa Kenya ni magari ya kawaida kabisa.
  10. Chunda

    GE2020 Marekani: Kuanzia leo, tunaweka vizuizi kwa waliohusika na kuvuruga Uchaguzi nchini Tanzania

    Huyu kibarua chake kinakwisha kesho, itakuwaje kuhusu haya matamko yake?
  11. Chunda

    Waziri wa Elimu simamia ubora wa elimu na mbinu za ufundishaji

    nakuunga mkono 100 kwa 100. Angekuwepo waziri kama Jafo au prof Mbarawa tungeshaona mambo kwa utofauti. Huyu mama ni prof na amekuwa sekta ya Elimu muda mrefu lkn hana mchango wowote chanya katika sekta ya Elimu.
  12. Chunda

    Kuzuiwa kwa mikusanyiko mwisho wa Mwaka: Kilio kwa Waziri Simbachawene

    Haya makadirio siyo halisi, watu wakijaa wanja wa mkapa no elfu 60 na jiji zima linafurika. Ungekadiria watu kama elfu 5 hivi ingeleta maana.
  13. Chunda

    Polisi Arusha waua wawili wakidai ni majambazi

    Hii ni ishara mbaya sana, ni dalili za nchi kukosa uelekeo.
  14. Chunda

    Swali la sikukuu: Ununuzi wa magari ya kifahari kwenye halmashauri kosa ni la Wakurugenzi au Madiwani wa CCM?

    Si suala la kuuliza, BINADAMU yeyote anaweza kuwa RAISI wa Tanzania. Ni nchi pekee duniani isiyo angalia uwezo na kipaji ili kuwa mkuu wa nchi
  15. Chunda

    Serikali ya CCM haifurahi ukiwa na kiasi kikubwa cha fedha benki, unafilisiwa kwa kupewa kesi ya Uhujumu Uchumi

    Hata aridhi siyo salama. Kila kipande cha aridhi kinapimwa na kinatakiwa kulipiwa kodi ya aridhi kila mwaka
Back
Top Bottom