Sisiemu imeua watanzania.Hicho anachokifanya Kinana ni usanii mtupu kuzidi kuwapumbaza watanzania ambao ni wepesi sana kupumbazwa na usanii huo wa rejareja wa Kinana.Huyo atabakia ni yuleyule tajiri mmojawapo ndani ya Sisiemu na miongoni mwa walioliasi Azimio la Arusha.
Naamini kabisa kwa wenye kufikiri sawasawa na kwa kuzingatia nyakati tulizonazo hawawezi kukata mishahara ya watu bila "muafaka na walimu.Na kama hilo litafanyika,walimu wote tuandamane ili kuwaondoa viongozi wote wa CWT.
Mabadilko yakitokea nchi hii mtakimbia mchana kweupe mkilia na kusaga meno.Mnaonufaika na mfumo huu wa kifisadi uliotengenezwa na sisiemu mnachelewesha sana uhuru wa kweli wa nchi hii ya Tanganyika.
Maandamano siyo uasi,bali ni njia mojawapo inayotumiwa na jamii iliyokandamizwa muda mrefu kujikwamua.Ni haki ya msingi mahali ambapo demokrasia ya kweli inafanya kazi na siyo usanii.Sisiemu itaendelea kukaa madarakani siyo kwa sababu ya sera mzuri,bali kutokana na ujuha na utaahira wa...
Chama chetu ili uwe kiongozi siyo lazima uwe mjenga hoja,bali uwe kada wa kujipendekeza kwa wakubwa,mwenye pesa nyingi za ufisadi na unawachukia watanzania wanaopenda mageuzi.Mambo ya hoja na usomi kwetu yamepitwa na wakati.
Hapa tulipofikishwa na sisiemu ni mahali pabaya sana.Ili kuitoa sisiemu madarakani lazima nguvu za ziada zitumike.Wewe kama msomi nakupa pole sana,ni msomi gani ambaye analia kuhusu haya yanayotaka kufanywa na CHADEMA? acheni kutumikia matumbo yenu kwa mabaki yanayosazwa na sisiemu mwisho wa...
Ni rahisi kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko kwa mwanasiasa wa Tanzania kuingia kwenye ufalme wa Mungu.Na ndiyo maana jamaa wanakula bata kwa kwenda mbele kwani wanajua hawaendi kokote baada ya kifo chao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.