Kwema humu ndani?
Kwanza samahani kama kuna watu nitawakwaza kwa haya machache niliyoyashuhudia Sumbawanga na dhana ya uchawi wa sumbawanga.
Kiukweli tokea nakua katika makuzi yangu nilikuwa nikisikia watu wakiitaja Sumbawanga kama sehemu yenye uchawi mkubwa kwa hapa Tanzania, hali...
Nb: Kwanza sina uzoefu wa kuendesha hivo vyombo vya moto pia mara nyingi hizi ndoto napata kuanzia saa nane za usiku hadi saa kumi yan mara nyingi nikikurupuku kutoka kwenye hizo ndoto nikicheki saa lazma iwe saa kumi au saa tisa
Hii nchi itakuwa vigumu kupata maendeleo ya kweli kwa sababu kila Rais anayeingia madarakani anakuja na maono,mitazamo na misimamo yake ya jinsi gani nchi inatakiwa kwenda na kipindi chake kikiisha anayefuata naye anaanza na yake yani hakuna muendelezo kabisa
Habari waungwana naomba msaada kwa mwenye kuelewa maana ya ndoto hii mara nyingi nimekuwa nikiota naendesha vyombo vya moto kama vile gari ya abiria au pikipiki huku nimepakia abiria nyuma.
Sometime naota narusha ndege angani yenye abiria wengi wakati huo sina experience yoyote na vyombo vya...
Kwanza nianze kwa kuwasalimia wanachama wenzangu wa jukwaa hili
Mimi sio mgeni sana Nakumbuka nilijiunga na JF miaka kama 8 iliopita ila nilisahau neno siri langu.
Kwasasa mambo yapo kwenye mstari naomba mnipokee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.