Hizi meseji za mitandao ya simu kujulisha bando ya internet imeisha zinakera sana.
Kuna haja gani ya kutuma meseji tatu usiku wa manane kwani bando ikiisha sinitajua mbaya zaidi zinakuja sms tatu kwa mfululizo unaweza kupuuza kwa kudhani ni SMS za mtandao ila ukiacha kusoma na umesikia ikiita...
Kwanini useme mama yake kuna sehemu alienda alivyorudi mtoto akaanza kulia,ni kama kuna mawazo uliyonayo labda mama ametoka kuchepuka,maana kama mtoto analia kwa masaa mawili halafu unakuja kuuliza huku mitandaoni kweli?Hakuna hata majirani hapo ,mtoto masaa mawili analia hiyo nguvu ya kuandika...
Huu mwandiko wa jamaa kama una ukakasi hivi, kupata usingizi mwanana,mara muunekano na mvuto,kuna ukakasi kidogo,Tafuta hela broo nywele zitangara zenyewe bila mafuta,Kwanza mafuta yanauzwa afu tatu mh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.