Recent content by chugastan

  1. C

    Kamwe usijaribu kufanya ngono kwenye gari, lisipoharibika litapata ajali mbaya

    Wewe utakuwa una biashara ya gesti ,mbona gesti zisiwe nazo zinapata ajali kama moto nk ,tuache embu na magari yetu niache kugongea kwenye gari la milioni 20 nikapigie ktk gesti ya elfu 20000
  2. C

    Nifahamishe kituo cha watoto yatima chenye uhitaji mkubwa sana

    Huyu jamaa kuna fursa anataka kuitumia kupitia kituo hicho ,kama una uwezo wa kuwasaidia bila kuwa na manufaa yako binafsi sidhani kama unashindwa kujua pakusaidia bila kuomba huku,wewe huna tofauti na wale "tuma kwa namba hii"
  3. C

    Mbeya: Askari Polisi afariki kwa kujipiga risasi kisa mgogoro wa mapenzi

    Wanaume wenye vimacho kama hivyo huwa vinapenda ngenya sana,
  4. C

    VODACOM

    Wakisema kama umeibiwa simu bofya hapo hapo hata kama haihusiani na unachotaka kuwaambia
  5. C

    Baba wa Mwimbaji wa Injili aliyeimba "Mnatuona Nyani tu" ahukumiwa miaka 3 jela kwa kuendesha Kanisa bila kibali

    Tayari wameshamfix, nilisema huyu jamaa vipi serikali inamwangalia tu na uropokaji uliovuka mipaka? Nilihisi amechanganyikiwa lakini baadae nikaona kuna watu walikuwa nyuma yake sasa wamemwingiza cha kike, pamoja na yote ila kale ka nyimbo cha nyani ukiwa na bia mbili tatu kichwani kanachezeka!
  6. C

    Serikali kuwalipa Posho na kuwalinda Watoa Taarifa na Mashahidi wa Mahakamani

    Siku zote hili kwa nini lisingekuwa linafanyika ,sasa tutaanza kufunguka ,na posho ya ushuhuda iwe wazi kama zilivyo wazi faini za makosa
  7. C

    Ukichaa wa akili ya mwanadamu tatizo kubwa Duniani

    Hata tundu lissu nasikia na yeye tayari
  8. C

    TANZIA Profesa Handley Mafwenga, Mtanzania mwenye shahada 9 afariki dunia

    Degree saba halafu alikuwa hajui anaugua figo
  9. C

    Kati ya Mbagala na Gongo la Mboto wapi kuna watu wengi?

    Nilidhani unasema mbagala na gongo la mbali wapi mboto?
  10. C

    Wanafunzi 400 Wahitimu Chuo cha Uganga wa Kienyeji Kahama

    Wanafunzi 400 wamehitimu Chuo cha Uganga wa Kienyeji huko kahama. Chuo kinachoitwa Modesta, ambapo ndiyo chuo cha kwanza Tanzania kutoa tasnia hiyo. Mahafali hayo yamehudhuriwa na zaidi ya watu 1000.
  11. C

    DOKEZO Utajiri wa Koplo Adronis Mushi wa Kituo cha Polisi Kabuku uchunguzwe

    Umasikini shida sana yaani prado na forester inakutesa akili, tafuta pesa fala wewe, kwanza umesikia ni Mushi sasa unashangaa nini?
  12. C

    Watu wa Dar kuna ujumbe wenu huku kutoka kwa Nabii Mkuu

    Kama ni unabii wa Mungu kweli angeanzia Unga limited arusha na si dar
  13. C

    Airbnb za Bongo

    Huyu jamaa kwa uandishi wake huwa nina mashaka nae yuko yuko kama jamii za kina noel au delicious
  14. C

    Nahitaji pikipiki TVS CC 125

    Kwa nini tank la bluu,?
Back
Top Bottom