Recent content by chuchumeta3

  1. C

    Jesca Kishoa kwa hili la kumkosoa Kafulila hadharani na kufuta picha zake kwenye mitandao yako ya kijamii, umekosea

    Amuunge mkono apoteze kazi kisa mume ujinga. Yuko sahihi kama akumshirikisha Jesca si mwanachama tu. Ni mbunge hiyo ni ajira kubwa sana ambajo ilisaidia familia,tena angempiga chini kabsa jesca anamalengo yake si goalkeeper.
  2. C

    Tumuunge mkono Rais kupokea wapinzani

    Miongoni mwa majukumu ya mh rais ni kuteua watendaji mbalimbali. Rais ana wakati mgumu sana kupata watu bora kujaza nafasi hizo na zimekuwa nyingi mno mpaka wakati mwingine zinaleta mjadala. Ugumu huu unatokana uwezo mdogo wa watu chama tawala. Kumbuka ilibidi mbunge kuteuliwa ajiuzulu ili mh...
  3. C

    Simba wamtenga mwenzao aliyefanyiwa upasuaji

    Kama wangeangaika namna kuwasaidia watu wanaouawawa na wanyama hakika ingependeza sana
  4. C

    Mali zaidi za Tanzania kukamatwa ughaibuni kufidia madeni, serikali yatuma watu Marekani kujinasua

    Hizi habari kuziandika si uzalendo .wananchi hatupaswi kujua.nategemea mhariri ametumia busara mwandishi aitwe mwandishi wetu na si jina lake.maana wasiojulikana hawakufurahishwa na Lissu kutujuza bombadier [emoji126]naenda Zimbabwe
  5. C

    Maneno haya ya Lema baada Kafulila kuondoka CHADEMA ni unyanyasi wa kijinsia dhidi ya Jesca Kishoa

    Msameheni anatafuta fursa, amechoka kubaki home kupika;kuogesha watoto kulishwa mwanaume ni ngumu kuhimili
  6. C

    Serikali kuanza kutoa kinga ya VVU mwakani

    Mapenzi jinsia mmoja kipaumbele!rais si alikataa musaada .sheria yetu walipaswa washitakiwa nini tena kimeikuta serikali. matamko yote yale mwe
  7. C

    Wakenya hawana utani na mabomu ya Machozi

    Hawana.simba hawana golikipa mahiri
  8. C

    RC Makonda atangaza kiama kwa wanaume wanaowapa wanawake mimba kisha kuzikataa

    Si kila mtu anaweka mimba mh nafikiri unajua hilo.so wakapata pia ujinga wao zipo njia mbalimbali za kizuia tena huduma hii ni bure.
  9. C

    Godfrey Gugai ajisalimisha TAKUKURU, kufikishwa mahakamani kesho

    Alikuwa anatafuta platform ya kumuongelea Nyalandu .akatokelezea na issue kupotea Gudai
  10. C

    Serikali yaondoa zuio la kuuza mahindi nje ya nchi

    Bei ikipanda karibuni tule mbaazi kwa chapati,vitumbua,mihogo,ndizink..mbaazi kilo@100/=
  11. C

    Serikali yaondoa zuio la kuuza mahindi nje ya nchi

    Itakuwa neema kwa watu wengi hasa wakulima maskini walala hoi. Hatuwasaidii wakulima wacha yapande bei wajiokoe.si lazima tule ugali yujifunze kula mbaazi pia
  12. C

    Serikali yaondoa zuio la kuuza mahindi nje ya nchi

    Si jukumu la mkulima kupata hasara kwa ajili wetu wengine.serikali inunue chakula kwa ajili ya njaa iwapo itatokea kuwanusuru walipa kodi wake
  13. C

    SUMATRA: Marufuku abiria kuzungumza siasa, dini, biashara ndani ya basi!

    Kwa hiyo tukijadili siasa kwenye mabasi .watatoza faini kwa dereva,abiria au mmliki .Polepole uko wapi akina Muro wanaongezeka kaa chonjo kazi imekushinda[emoji32]
Back
Top Bottom