Recent content by Chubbylady

  1. Chubbylady

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Mwenye namba yake ampigie basi amwambie tunasubiri huku jamani[emoji23][emoji23]
  2. Chubbylady

    Uke wenza (najua wanawake mtachukia hili)

    [emoji23][emoji23][emoji23] Sio tuonaona sawa nyie wanaume ndo mnaona sawa.. unadhani kuna mwanamke anapenda kuchangia mume na mtu mnatengeneza mindset za kwamba mwanaume hawezi kutulia na mwanamke mmoja na mnafanya ivo kwa visingizio vya kunyimwa mbususu(tho wengi mnanyimwa) na wanawake...
  3. Chubbylady

    Uke wenza (najua wanawake mtachukia hili)

    Ameongelea habari Quran jamani hiyo inamaana gani?? asingeweka vifungu vya Quran na kusema habari Za Allah ningejuaje kama hii hainihusu?? nimekosea nn hapo?? Angetaka na sisi wengine tushiriki angeongelea in a general way mana hata sikuiz wakristo wanafanya hayo mambo ila ametanguliza na...
  4. Chubbylady

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Amesema tareh 1.11.23 saa 4 usiku sijui Kwakweli mimi saiz nimeamua kwenda na flow ya mwandishi akipost hayaa asipopost sawa pia[emoji23] kuna muda inakua kama tunambembeleza/tulazimisha apost ili kumaliza story lakini kwa upande mwingine nae ana majukumu kazi, familia plus personal things...
  5. Chubbylady

    Uke wenza (najua wanawake mtachukia hili)

    Kwakweli sina neno hapo since mimi ni mkristo nimgekua ustadhat ningesema inanihusuu
  6. Chubbylady

    Uke wenza (najua wanawake mtachukia hili)

    Hii wakristo haituhusu[emoji4][emoji4]
  7. Chubbylady

    Simulizi: Lisa

    nimechoka jamani afu inakoelekea itaanza kuboa
  8. Chubbylady

    Simulizi: Lisa

    Aimalize tuu naee tumeshachokaa[emoji19][emoji19] na ukute inaendelea[emoji23][emoji23]
  9. Chubbylady

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Uzuri wa mtu/ kitu upo machoni pa mtu[emoji2][emoji2] Ndo mana mzuri kwako ila kwa mwingine ni wakawaida ila kuna kile kitu/mtu 9/10 wote mnamwona mzuri/kizuri
  10. Chubbylady

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwakweli hata mm nilikua sijui kama namkubali mama j hivi
  11. Chubbylady

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kwa tuaokumbuka mafundo ya komunyo na kipaimara maelezo ndo yalikua hayo hayo mkuu uasherati ni kuzini ukiwa ndani ya Ndoa
  12. Chubbylady

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umemaliza kila kitu mkuu[emoji1666]
  13. Chubbylady

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Umesema umepoteza hisia kwa mama j kwasababu ya iryn ko sisi kama team mama J lazima tupaze sauti alafu anajifanya bestie wa mama j akati wanachangia rungu kwann?? Alafu kwa prisca haya yote hayakuwepo mkuu ya kupoteza hisia sijui
  14. Chubbylady

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    kwa kikakoliki kuzini ni kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa ila ukifanya ukiwa ndani ya ndoa ni Uasherati Ila ndugu yetu kidini hujamuoa mama J ila kimila ni mkeo lakin maandiko hayo hayo yanasema “lililofungwa duniani na mbinguni limefungwa” kwa macho ya kibinadamu sio mkeo wa ndoa ila...
Back
Top Bottom