hii video clearly ni AI
wewe unaweza kuhutubia kwa dk 25 bila kunyanyua mkono!?
na pia huyu kiongozi huwa hapendi kuongea kwa kiingereza, always anatumiaga lugha yao
nahisi hii nayo ni propaganda tu kumpamba huyu kiongozi
Public insfrasttructures kama public transport huwa haziingizi faida duniani kote, nenda china fast train zao haziingizi faida, ukienda marekani postal service zao haziingizi faida. Hii ni miradi inayokuwa funded na serikali kwa lengo la kumsaidia mwananchi maisha yake kuwa rahisi na sio...
magari ya formula 1 yanatumia mafuta, magari ya formula E (e kwa maana electric) yanatumia umeme tu, battery technology bado sio nzuri, hivyo wanarace kwa lap chache tu hawawezi kufika lap 50/60/70 kama magari ya mafuta f1, pia kuna f2, f3, f4
wacheni technology iendelee, kwanini mpoteze hamu...
Mimi sio Atheist,
ila nlipata mda wa kufatilia hoja zao kuhusu Mungu
zipo nyingi
ntakupa chache
kwanza tuanze na atheism ilipoanzia
chimbuko la atheism ni tetemeko la ardhi na tsunami iliyoikumba lisbon mwaka 1755
Lisbon ilikuwa ni nchi takatifu, watu walikuwa wanasali sana
ila mwaka huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.