Recent content by christopher mlewa

  1. christopher mlewa

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Hii kali
  2. christopher mlewa

    JamiiForums Tanzania JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    N0 r3fomu N0 eRrrrection
  3. christopher mlewa

    JamiiForums Tanzania Waandishi wa habari Tanzania hawana maudhui kabisa! Siku hizi wasomaji wanawaelimisha waandishi

    daaah umenkumbusha mkuu, kuna watangazaji wa KTN wapo smart kichwani adi huwez amini kama ni waAfrika
  4. christopher mlewa

    JamiiForums Tanzania Waandishi wa habari Tanzania hawana maudhui kabisa! Siku hizi wasomaji wanawaelimisha waandishi

    Poleni kwa majukumu. Ndugu zangu hapa katikati kuanzia miaka ya 2010 limeibuka wimbi la waandishi wa habari pamoja na vyombo vyao vya habari ambavyo vimekua ni zaidi ya janga kabisa. Kwanza kabisa waandishi hawa ni weupe kichwani kiasi kwamba hadi wanatia aibu, mfano kuna radio na waandishi...
  5. christopher mlewa

    JamiiForums Tanzania KERO Mtaa wa Mashine Tatu Iringa umekuwa mbovu kupindukia

    kaka, hapa kuna bajaji, daladala zinakusanyia abiria hapa, wafanyabiashara wadogo wapo barabarani, yaani daaah
  6. christopher mlewa

    JamiiForums Tanzania KERO Mtaa wa Mashine Tatu Iringa umekuwa mbovu kupindukia

    Habarini ndugu zangu, Naomba nisiwachoshe, bali niingie moja kwa moja kwenye swala la msingi. Kuna mtaa hapa Iringa mjini unaitwa Mashine Tatu, ambao ni mtaa wa pili kwa idadi kubwa ya wafanyabiashara wadogo na wakubwa. Mtaa namba moja kwa shughuli nyingi ni Miyomboni. Ndugu zangu, mtaa huu...
  7. christopher mlewa

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri; Nipo kwenye dimbwi la mawazo baada ya kutembea na mwathirika wa UKIMWI

    asante mkuu kwa ushauri wako imara, kuna kitu umeniongezea
  8. christopher mlewa

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri; Nipo kwenye dimbwi la mawazo baada ya kutembea na mwathirika wa UKIMWI

    nilimuandaa vizuri, japo kule kulalamika kwa watoto wakike kulikuepo "naumia" "taratibuu" so sijajua kama ilikuaje, ila nimefanya nae ijumaa usiku.
  9. christopher mlewa

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri; Nipo kwenye dimbwi la mawazo baada ya kutembea na mwathirika wa UKIMWI

    duuuh! mkuu nashkuru kwa ushauri sahihi
  10. christopher mlewa

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri; Nipo kwenye dimbwi la mawazo baada ya kutembea na mwathirika wa UKIMWI

    Ndugu zangu... Poleni kwa majukumu ya ujenzi wa taifa, mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 25. Wiki moja iliyopita nilikutana kimwili na binti ambaye kwa bahati mbaya nilikuja kugundua na kuthibitisha kuwa ni muathirika wa virusi vya ukimwi😭😭, na siku hiyo niliuza mechi (sikuvaa...
  11. christopher mlewa

    JamiiForums Tanzania Ombi rasmi la kukaribishwa JF

    asante mkuu
  12. christopher mlewa

    JamiiForums Tanzania Ombi rasmi la kukaribishwa JF

    Naomba nijikite moja kwa moja kwenye swala langu, ndugu wana jamvi naombeni mnikaribishe jamvini, nimekua mfatiliaji mkubwa sana wa JF. ila leo ndo imekua siku yangu ya kwanza kupost, Mungu awape nguvu ya kunikaribisha.
Back
Top Bottom