Waandishi wa habari Tanzania hawana maudhui kabisa! Siku hizi wasomaji wanawaelimisha waandishi

Oct 22, 2018
15
39
Poleni kwa majukumu.

Ndugu zangu hapa katikati kuanzia miaka ya 2010 limeibuka wimbi la waandishi wa habari pamoja na vyombo vyao vya habari ambavyo vimekua ni zaidi ya janga kabisa.

Kwanza kabisa waandishi hawa ni weupe kichwani kiasi kwamba hadi wanatia aibu, mfano kuna radio na waandishi wake niliskia wanachambua migogoro ya mashariki ya kati daaaah aise nilijiskia aibu mimi, hakuna wanachojua hadi unashangaa wamefikaje hapo?

Sawa wanafika hapo si kwa sababu ya uwezo ila vyeti vya kuhonga vyuoni kwao na "connection" za hapa na pale sasa mbona hata maadili tu ya utangazaji hawa watu hawana?

Oooh ebu ona kuna siku namsikia "Babalevo" pale Wasafi Fm anasema "siku hizi Diamond hamzagamui zuchu vizuri, duuh on mic kabisa.

Halafu wamekua wakiuliza wananchi watoe majawabu badala ya wao wawatafutie majawabu, kwenye "MediaPlatforms" zao wanajaza maswali kwa wasomaji badala ya kuwapa majibu ya kipi ni kipi, kwa mfano mwandishi wa habari anauliza wasomaji wake ni sifa zipi mwenyekiti wa mtaa anatakiwa kuwa nazo? haaaa hapa mwandishi angekuja na jawabu lake tu ili asaidie umma.

Kiukweli ukitoka kutazama Al jazeera, BBC, CNN au CGTN halafu ukaminya rimoti bahati mbaya basi jiandae kwenda kushuhudia vituko vya akina Mwijaku na Zembwela huko TBC, CHANNEL 10, STAR TV, WASAFI TV AU CROWN, kama jana pale Crown Tv karibia masaa mawili walikua live kutuonesha birthday ya mwenzao (AIBU).

Siku hizi hadi Salim Kikeke ambaye alikua ndo hazina pekee iliyobaki nae anaanza kuiga hawa walio weupe kichwani, TUFANYAJE KUIOKOA HII TASNIA YA HABARI?

ASANTENI

Screenshot_20241126-064542_1732593395597.jpg
Screenshot_20241126-064023_1732593433328.jpg
Screenshot_20241126-062237_1732593465766.jpg
Screenshot_20241126-065408_1732593297082.jpg
Screenshot_20241126-065250_1732593319352.jpg
Screenshot_20241126-064625_1732593347418.jpg
 
Kuna vipindi ambavyo unabidi kufatilia na vingine unapotezea .

Mimi huwa sisililizi radio wala kutazama TV wala YouTube Ila nachofanya huwa nasoma Taarifa mtandaoni Kama JF , twitter n.k

Kupitia njia hii nakuwa na Taarifa chache ambazo ni za muhimu .
waandishi wetu wa habari wanatuaibisha
 
Watanzania wengi ni Matahira ndiyo maana hata waandishi wa habari wanawaletea taarifa za kitahira tahira!

Hayo unayoyaona kwenye Redio na Tv ndicho Watanzania wanapenda kuyaona na kuyasikia,hivyo hata usiwalaumu hao waandishi!

Nchi imejaa matahira kila mahali!

Binafsi huwa natazama AL JAZEERA & BBC

Kwa Afrika huwa napenda kutazama sana Tv za Kenya!
 
Watanzania wengi ni Matahira ndiyo maana hata waandishi wa habari wanawaletea taarifa za kitahira tahira!

Hayo unayoyaona kwenye Redio na Tv ndicho Watanzania wanapenda kuyaona na kuyasikia,hivyo hata usiwalaumu hao waandishi!

Nchi imejaa matahira kila mahali!

Binafsi huwa natazama AL JAZEERA & BBC

Kwa Afrika huwa napenda kutazama sana Tv za Kenya!
daaah umenkumbusha mkuu, kuna watangazaji wa KTN wapo smart kichwani adi huwez amini kama ni waAfrika
 
daaah umenkumbusha mkuu, kuna watangazaji wa KTN wapo smart kichwani adi huwez amini kama ni waAfrika
Mkuu ukiwa na akili timamu Huwezi kutazama huu uchafu wa Tanzania huitwao TV !

TV na REDIO za Tanzania zimejaa ujinga,utahira na Uchawa !,hakuna Cha maana kinachopatikana huko ni Ujinga tu !

Huwa nafaidi sana ninapotazama TV za Kenya
 
Poleni kwa majukumu.

Ndugu zangu hapa katikati kuanzia miaka ya 2010 limeibuka wimbi la waandishi wa habari pamoja na vyombo vyao vya habari ambavyo vimekua ni zaidi ya janga kabisa.

Kwanza kabisa waandishi hawa ni weupe kichwani kiasi kwamba hadi wanatia aibu, mfano kuna radio na waandishi wake niliskia wanachambua migogoro ya mashariki ya kati daaaah aise nilijiskia aibu mimi, hakuna wanachojua hadi unashangaa wamefikaje hapo?

Sawa wanafika hapo si kwa sababu ya uwezo ila vyeti vya kuhonga vyuoni kwao na "connection" za hapa na pale sasa mbona hata maadili tu ya utangazaji hawa watu hawana?

Oooh ebu ona kuna siku namsikia "Babalevo" pale Wasafi Fm anasema "siku hizi Diamond hamzagamui zuchu vizuri, duuh on mic kabisa.

Halafu wamekua wakiuliza wananchi watoe majawabu badala ya wao wawatafutie majawabu, kwenye "MediaPlatforms" zao wanajaza maswali kwa wasomaji badala ya kuwapa majibu ya kipi ni kipi, kwa mfano mwandishi wa habari anauliza wasomaji wake ni sifa zipi mwenyekiti wa mtaa anatakiwa kuwa nazo? haaaa hapa mwandishi angekuja na jawabu lake tu ili asaidie umma.

Kiukweli ukitoka kutazama Al jazeera, BBC, CNN au CGTN halafu ukaminya rimoti bahati mbaya basi jiandae kwenda kushuhudia vituko vya akina Mwijaku na Zembwela huko TBC, CHANNEL 10, STAR TV, WASAFI TV AU CROWN, kama jana pale Crown Tv karibia masaa mawili walikua live kutuonesha birthday ya mwenzao (AIBU).

Siku hizi hadi Salim Kikeke ambaye alikua ndo hazina pekee iliyobaki nae anaanza kuiga hawa walio weupe kichwani, TUFANYAJE KUIOKOA HII TASNIA YA HABARI?

ASANTENI

View attachment 3161839View attachment 3161840View attachment 3161842View attachment 3161843View attachment 3161844View attachment 3161845
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Those are pure harlots of the media.Failures ndiyo waelimishaji umma?Merde!
 
Poleni kwa majukumu.

Ndugu zangu hapa katikati kuanzia miaka ya 2010 limeibuka wimbi la waandishi wa habari pamoja na vyombo vyao vya habari ambavyo vimekua ni zaidi ya janga kabisa.

Kwanza kabisa waandishi hawa ni weupe kichwani kiasi kwamba hadi wanatia aibu, mfano kuna radio na waandishi wake niliskia wanachambua migogoro ya mashariki ya kati daaaah aise nilijiskia aibu mimi, hakuna wanachojua hadi unashangaa wamefikaje hapo?

Sawa wanafika hapo si kwa sababu ya uwezo ila vyeti vya kuhonga vyuoni kwao na "connection" za hapa na pale sasa mbona hata maadili tu ya utangazaji hawa watu hawana?

Oooh ebu ona kuna siku namsikia "Babalevo" pale Wasafi Fm anasema "siku hizi Diamond hamzagamui zuchu vizuri, duuh on mic kabisa.

Halafu wamekua wakiuliza wananchi watoe majawabu badala ya wao wawatafutie majawabu, kwenye "MediaPlatforms" zao wanajaza maswali kwa wasomaji badala ya kuwapa majibu ya kipi ni kipi, kwa mfano mwandishi wa habari anauliza wasomaji wake ni sifa zipi mwenyekiti wa mtaa anatakiwa kuwa nazo? haaaa hapa mwandishi angekuja na jawabu lake tu ili asaidie umma.

Kiukweli ukitoka kutazama Al jazeera, BBC, CNN au CGTN halafu ukaminya rimoti bahati mbaya basi jiandae kwenda kushuhudia vituko vya akina Mwijaku na Zembwela huko TBC, CHANNEL 10, STAR TV, WASAFI TV AU CROWN, kama jana pale Crown Tv karibia masaa mawili walikua live kutuonesha birthday ya mwenzao (AIBU).

Siku hizi hadi Salim Kikeke ambaye alikua ndo hazina pekee iliyobaki nae anaanza kuiga hawa walio weupe kichwani, TUFANYAJE KUIOKOA HII TASNIA YA HABARI?

ASANTENI

View attachment 3161839View attachment 3161840View attachment 3161842View attachment 3161843View attachment 3161844View attachment 3161845
Aisee kama ni kuwakomoa wa Tz Tibisii wamezidi yani kifurushi changu kikikata ni bora kuzima TV ni full upuuzi hata watoto wanakasirika wakiona ile logo tu wanajua baba kafulia mimi binafsi huwa siwezi kuitizama na safari nayo badala ya vivutio utakutana na kero tu kila siku matangazo yaleyale mnaboa jamani kwa sababu mnafanya makusudi mtu unaweka kipindi unasifia CCM masaa mawili na unajua kabisa hamna jipya lolote kiukweli sio haki
 
Back
Top Bottom