Kaka kiukweli unahatarisha afya yako mwenyewe,mbali na kukimbiwa na hawa viumbe. ninacho kusihi jaribu kujicondition at least 3 zinatosha.Hakuna dawa wal tiba mkuuu.....zaidi ya kufanyia zoezi hilo nililo kwambia.
Akina dad zetu kiukweli ss wanaume ndio chanzo cha umalaya pindi tunapo zarau ndoa zetu
na kuanza kutoka nje.
Lakini pia nyie mna dhamana kubwa ya kusema hapana pindi unapo hisi mnadanganywa ili mpate ofa ya bia au kitu kingine cha cha kk laghai.
Hawa wabunge kwkweli ni vichekesho,na wanacho angalia zaidi ni kula tu na sio uzalendo wa kweli.
Najisiskia vibaya sana kuona nchi yangu ikiwa ktk hali kama hii ya ss.
Kk kwanza pole sn kw hilo,
Pili napenda kk shauri ya kwamba
Miongoni mwa kanuni za mapenzi ni
upendo wa zati na sio UMRI nk.
Je,nakama mngekkua lika sawa halafu yy ni kilema
kw namna yeyote ile wangesemaje?
Binadamu ndivyo tulivyo kk ww baku na msimamo wako.
ONE LOVE KAKA:nono:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.