Kama anafahamu fika yule ni Mke wako na bado anafanya ivyo bhas anakukosea sana... Mvute pembeni mwambie kiume tu akizidisha mazoea bunu mbunu nyingine
Nadhani gazeti ni kavu , hivyo halitoi mazingira kwa wadudu kuishi/kukaa kwenye gazeti kwa muda mrefu... Ivyo ndo maana kutoka miaka ya '90 mpaka leo watu wanatumia na hakuna madhara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.