Niliwahi msikia mwalimu mwakasege anasema muda wa kujifungua huwa kuna vita kubwa sana kiroho huu ndo muda shetani uchukua vyake muda huo ni vyema kwa wanaume tuombe sana wakati wake zetu wakijifungua
Mm nilikuwa mpenzi mno wa millardayo, kiukweli sasa hivi ule mvuto wa miaka miwili nyuma wa millard ayo umepungua kiasi fulani, kuna watu humu walishamshauri hapunguze video kwenye habari zake na leo mkuu amemshauri atemane na mkumbo wa clouds, kujikwaa kupo ajicheki asimame aendelee, walaji wa...
Hii saa bongo 5 wamesema ni million 65 hivi huku 600 wasafi baby [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hiyo 600 uwongo mtupu kama ile mimba ya huyu mzungu iliyayuka ghafla na yenyewe
Uko sahihi kbs mkuu ulimwengu ni mwalimu bora sana alafu bakora zake ni kali mno mno, mwalimu huyu acheki na mtu, mkanye mtoto kwenye umri huu ukishindwa utakuja shuhudia mwalimu dunia anavyomkanya mtoto wako
Sasa bora tu ununue yale masex toy ukae nalo ndani ufaidi mwenyewe hatuwezi kulifaidi wa nje, lkn hivi hivi awe amezalishwa au hajazalishwa wajanja watamla tu,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.