Sorry wadau, tunavyotoa comment za kukejeli dini ya watu, tunaonesha wazi nia yetu sisi wakristo kama tunawakeli waislam, ambao ndio hao hao wapiga kura wa CHADEMA, tuache jazba tujadili hoja, hivi ni kweli waislam wala ubwabwa, darasa la pili, wacheza bao, hivi hakuna waislam waliosoma. Tuache...