Recent content by chrispny

  1. chrispny

    JamiiForums Tanzania Walifungiwa app za mikopo walichokifanya ni kubadilisha majina ya hizo app na bado wanaendelea kufanya utapeli

    Habari wana JF. Kuna suala linaloendelea juu ya app za kukoposhe ONLINE. Hii mikopo imekaa kiunyonyaji sana. Mtu anakopa pesa online anapewa lakini mwisho wa siku usumbufu unakuja kwa watu ambao hawahusiki na huo mkopo. Nimekuwa nikipokea message kutoka kwa hawa jamaa wakidai nimewekwa kama...
  2. chrispny

    JamiiForums Tanzania MAJINA YA KUITWA KWENYE SHULE YA MAFUNZO YA UPOLISI MOSHI YAMETOKA.

    Habari za zenu wakuu. Kwa vijana waliofanya usaili wa kujiunga na jeshi la polisi July 29 2024 hadi august 2024 majina yametoka jana. Naomba kuuliza kwa anayefahamu kunakuwaga na batch nyingine au yakishatoka mara moja ndio imeisha?
  3. chrispny

    JamiiForums Tanzania Ugumu wa kupata kibarua hapa Bwawa la Umeme la Nyerere

    Vipi mkuu ulifanikiwa?kama ulifanikiwa naomba unipe ABC na mimi nataka kuja uko hali ngumu mtaani.
  4. chrispny

    JamiiForums Tanzania Kagera: Mwanafunzi afariki dunia akidaiwa kupigwa na mwalimu wake akituhumiwa kuiba pochi ya mwalimu

    Yeah sure..Thanks! Pole pia maana huu msiba wetu sote!
  5. chrispny

    JamiiForums Tanzania Kagera: Mwanafunzi afariki dunia akidaiwa kupigwa na mwalimu wake akituhumiwa kuiba pochi ya mwalimu

    Mwalimu muuaji huyu hapa hata sura yenyewe kakaa kikatili
  6. chrispny

    JamiiForums Tanzania Kagera: Mwanafunzi afariki dunia akidaiwa kupigwa na mwalimu wake akituhumiwa kuiba pochi ya mwalimu

    Nimekuelewa vizuri sana.Unachojaribu kusema hapo hakipo maana uyo mwanafunzi baada ya kupelekwa hosptalini dr kathibitisha kuwa kifo cha uyo mwanafunzi kimesababishwa na kipigo na sio matatizo ya moyo wala magonjwa mengine.Wanafunzi kuwa na magonjwa na kipigo ni vitu viwili tofauti.Hata uyo...
  7. chrispny

    JamiiForums Tanzania Kagera: Mwanafunzi afariki dunia akidaiwa kupigwa na mwalimu wake akituhumiwa kuiba pochi ya mwalimu

    You better keep quite sio kuongea huu ujinga.Eti jumba bovu limemuangukia mwalimu,mwalimu ni kama mzazi,inatakiwa watoto ukae nao kwa akili uwalee kama wanao na pale wanapokosea unatoa adhabu ya kawaida,mimi sidhani kama kumchapa mtoto kikatili ndio kutabadilisha tabia yake.Tusiongelee ili swala...
  8. chrispny

    JamiiForums Tanzania Bodi ya mkopo naona ipo serious

    Well said Mr
  9. chrispny

    JamiiForums Tanzania Wizara ya elimu mama Ndalichako sikia haya

    Sio ukweri ni ukweli:rolleyes:
  10. chrispny

    JamiiForums Tanzania HESLB watoa awamu ya pili wanafunzi waliopata mkopo 2015/16

    poa poa mkuu...kwa simu net inazngua..kozi gani ww??
  11. chrispny

    JamiiForums Tanzania HESLB watoa awamu ya pili wanafunzi waliopata mkopo 2015/16

    screenshot bhas mkuu tuone mimi kwangu inaload continuously bila feedback
  12. chrispny

    JamiiForums Tanzania DARUSO watoa tamko jipya

    ilo tamko wamelitoleaa wap??
  13. chrispny

    JamiiForums Tanzania Tamko la DARUSO kuhusu mikopo

    hatuongelei mambo ya uchaguzi hapa,,ongea kama msomi dogo
  14. chrispny

    JamiiForums Tanzania Tamko la DARUSO kuhusu mikopo

    nina mashaka na uwezo wako wa kufikiria kutokana huu ushuzi ulioandika hapa
Back
Top Bottom