club6
Senior Member
- Apr 11, 2014
- 157
- 61
Haya log in as regesterd user uone watakuletea nini kama sio hicho mdau alichoweka.
Mimi sijakataa wala kupinga, nimefanya hivi ili wale wanaokataa wafungue Waone wenyewe mkuu
Haya log in as regesterd user uone watakuletea nini kama sio hicho mdau alichoweka.
Wasiliana na bodi watakusaidia.Wana jamvi naomba msaada mm nimesahau password ya olas sasa hiyo dodoso najaza vipi ama naweza kuzipata ivyo password mwenye uelewa pls I need help for that
OK poa mkuu.Mimi sijakataa wala kupinga, nimefanya hivi ili wale wanaokataa wafungue Waone wenyewe mkuu
Tatizo hawa jamaa wa bodi ukiwapigia cm hawapokei asee yaani Noma sanaWasiliana na bodi watakusaidia.
Well said MrLink gani unataka wewe,wewe ingia kwenye akaunti yako kila kitu utakiona kama huna akaunti au hukuombaga mkopo basi piga kimya.
![]()
Sasa Hii Vipi tenaaa... mwanafunzi ana Asset gani.. Ni mwendo wa Kuandika nina Tranker... Begi kubwa La Nguo

Kama wewe ni mnufaika tangu kitambo hii haikuhusu.Oi embu tusaidien ss ambao password zetu tumezisahau tunafanyaje hapo
soma vizuri kwenye welcome message utakutana na appeal uki click kwenye appeal wanakuleta kwenye login as registered user labda tu mm sielewi hapo au naww pia unaweza jaribu uone maana inaonekana kama ni kwaajili ya 2016/2017Haya log in as regesterd user uone watakuletea nini kama sio hicho mdau alichoweka.