DARUSO watoa tamko jipya

DARUSO watoa tamko jipya

Sisyphus

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2015
Posts
5,314
Reaction score
7,467
Serikali ya wanafunzi chuo kikuu cha Dar es salaam. Wanaendelea kuwaomba wahanga wa mikopo kuendelea kuvumilia kwa maana swala linakaribia kupata utatuzi hivi punde na wanaahidi matokeo mazuri ifikapo tarehe10 nov 2015.
 
Heeee hi hatari,watu walidhani kesho hiyo second lot itakuwa tayari,masaa 48 toka tarehe 6
 
Heeee hi hatari,watu walidhani kesho hiyo second lot itakuwa tayari,masaa 48 toka tarehe 6

Serikali ya wanafunzi chuo kikuu cha Dar es salaam. Wanaendelea kuwaomba wahanga wa mikopo kuendelea kuvumilia kwa maana swala linakaribia kupata utatuzi hivi punde na wanaahidi matokeo mazuri ifikapo tarehe10 nov 2015.

Hizi ni siasa. Kwa hiyo walivyosema masaa 48 na nyie mkaamini???? Nyie ni wageni wa maswala ya mikopo vyuoni au????
 
Mnazingua na nyie mbn hamna msimamo??
Afu taarifa zenu muwe mnaweka kitu kutuaminisha kuwa zinatoka kwenu kwel..
 
Serikali ya wanafunzi chuo kikuu cha Dar es salaam. Wanaendelea kuwaomba wahanga wa mikopo kuendelea kuvumilia kwa maana swala linakaribia kupata utatuzi hivi punde na wanaahidi matokeo mazuri ifikapo tarehe10 nov 2015.
ilo tamko wamelitoleaa wap??
 
duuh......
hizi sasa zishakua ni porojo.......
i bet iyo tarehe 10 ikifika wataendelea tena kuwaomba kuvumilia hadi tarehe 12 maybe
 
Hivi serikali haina wasemaje wake mpaka DARUSO waisemee serikali?
Hizi taarifa za kuungaunga ili kuwapa moyo watu ni hatari sana kama hazina uhakika Wa kuzaa matunda.

Ngoja tusubiri, ila tukijua fika hii ni kamari kabisa.
 
Serikali ya wanafunzi chuo kikuu cha Dar es salaam. Wanaendelea kuwaomba wahanga wa mikopo kuendelea kuvumilia kwa maana swala linakaribia kupata utatuzi hivi punde na wanaahidi matokeo mazuri ifikapo tarehe10 nov 2015.

Hili nalo ni tamko!
 
shida zenu zimewaponza mtasoma hadi MATANGAZO YA VIFO
 
Back
Top Bottom