Nilisikia Bi Mkubwa akisema Mawaziri mtusaidie huko nikawaza wale Mawaziri aliowakataa Uncle ndio wako pale kuna msaada kweli pale?! Mkopaji anajulikana kwa picha na dhamana zake hata kama ni fake lakin mkono mlefu unaweza kufanya kitu hapo si walipiga picha na doc zipo
Mwanaume unao wataka mbona tupo sema umeshindwa kugundua kama kuna vijana wa miaka ya 90 nakuendele ndio wanaosumbua kichwa yako amini nakuambia mtu mzima kama mimi hakuna asye mwelewa labda awe mlevi wa majani
Hahahahahah ni mapema mno kulaum minaona hizi lawama muda wake haujafika sababu bado anayo nafasi ya kuyafanya yote mnayopendekeza yangefanywa na sio uwanja iwapo hata ludi tena kule Whyte house hata mkilaumu mtakuwa sahihi kabisa naamini tutashuhudia mengi zaidi ya uwanja tuombeni Mungu...
Lazima atakuwa na uhakika na jibu lake huwezi kusimama mbele hapo dunia nzima inakuangalia uongee kitu ambacho ukijui labda kama ameuchukia huo uwaziri lakini wa wabunge wote wakipata ubunge ndoto yao ni kupata uwaziri na badaye urais ngoja tuone mwisho wa picture
Sent using Jamii Forums...
Kama kweli zipo kwenye makontena na document zinaonyesha zimeingia labda miezi kadhaa ilipita basi CAG atakuwa ni muongo au ina wezekana alipotoka kukagua ndio kontena zikaingia
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.