Recent content by Chozizwa 2020

  1. Chozizwa 2020

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti CCM Nyamagana: Tunawataka DP World bandari ya Mwanza, watoto wa kiarabu wajae

    Mkuu, kwa kifupi ni kwamba sehemu zote walizo kaa/ishi Waarabu hapa TZ karibia nyingi kama sio zote hamna maendeleo, waliziacha maskini balaa.
  2. Chozizwa 2020

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti CCM Nyamagana: Tunawataka DP World bandari ya Mwanza, watoto wa kiarabu wajae

    Mkuu wale Viongozi mahiri wa CCM wenye kufuata na kutii MIIKO YA CHAMA hawapo, wame staafu; waluopo ni vijana ambao kuingia kwenye Chama na kuwa Wanachama masharti yake ni kujua kusoma na kuandika.
  3. Chozizwa 2020

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti CCM Nyamagana: Tunawataka DP World bandari ya Mwanza, watoto wa kiarabu wajae

    Kama Mwalimu angewaruhuru Wachina waje wote miaka ile ya Ujenzi wa SGR ya TAZARA huyu mjamaa sijui angekuwa wapi!
  4. Chozizwa 2020

    JamiiForums Tanzania Kuna wimbi kubwa la watu wanaozaliwa mjini hawana ukaribu na vijiji vyao na watoto wao hawajui asili yao

    Mkuu, makabila yameanza kutoweka taratibu tena kistarabu. Huko Ulaya Dini nazo zinaanza.
  5. Chozizwa 2020

    JamiiForums Tanzania DP World: Watanzania ondokeni wasiwasi, Makubaliano yetu na TPA hayana kifungo cha kisheria baina ya pande zote mbili

    Na wakati huo huo ana waita wenzake wajinga wakati yeye ni zaidi ya wajinga.
  6. Chozizwa 2020

    JamiiForums Tanzania Mdude Nyagali aachiwa huru kwa dhamana

    Mkuu na wewe kweli ni Expert Member wa JF! yaani huna cha kuchangia katika hoja hii. TUNA SAFARI NDEFU
  7. Chozizwa 2020

    JamiiForums Tanzania Nawapongeza Uongozi wa Simba SC kwa mlichokifanya leo kwa Mchezaji Mpuuzi Clatous Chama

    Mkuu huo ndio ukweli kwa wakati huo.
  8. Chozizwa 2020

    JamiiForums Tanzania Nawapongeza Uongozi wa Simba SC kwa mlichokifanya leo kwa Mchezaji Mpuuzi Clatous Chama

    Mkuu pamoja na maelezo yako yaliyo shiba, lakini para ya mwisho ya hoja yako umetu kumbusha mbali sana na kutupa raha na faraja ulipo tukumbusha juu ya mchezaji ambaye kweli alikuwa na kipaji hasa cha kuzaliwa nacho cha mpira wa miguu; Marehemu "Gagarino". huyu nadhani alituteka wengi kwa...
  9. Chozizwa 2020

    JamiiForums Tanzania Arnold Schwarzenegger: Heaven is 'Fantasy' and 'Nothing' happens when we die

    Mkuu kwa ufupi hicho kitabu ni nukuu tu kutoka kwenye torati kwa asilimia kubwa na nyongeza zao kiasi.
  10. Chozizwa 2020

    JamiiForums Tanzania Arnold Schwarzenegger: Heaven is 'Fantasy' and 'Nothing' happens when we die

    Mkuu hebu tuelimishane kuhusu hili neno "We made" yeye na nani?
  11. Chozizwa 2020

    JamiiForums Tanzania Arnold Schwarzenegger: Heaven is 'Fantasy' and 'Nothing' happens when we die

    Mkuu hakukosea! Amesema "itaonja umauti" ndio na sio kufa. Hii ina maana, kwamba kwa vile nafsi ipo kwenye muhumili wa huyo binadamu basi ni sharti adhbitishe kuondolewa kwa uhai wa mtu wake.
  12. Chozizwa 2020

    JamiiForums Tanzania DP World: Watanzania ondokeni wasiwasi, Makubaliano yetu na TPA hayana kifungo cha kisheria baina ya pande zote mbili

    Mkuu ona hoja yako No 84 katika crips yako.. Wahenga wana sema ukiwa mwongo ni lazima uwe na uwezo wa kutunza kumbukumbu za kauli yako, nyie ni wasahaulifu, leo mtasema hiki na kesho mtasema kile. Inabidi muondoe huo ujinga maana unaondosheka.
  13. Chozizwa 2020

    JamiiForums Tanzania Arnold Schwarzenegger: Heaven is 'Fantasy' and 'Nothing' happens when we die

    Hata nafsi pia; hivi vyote sio mwili na wala sio viungo katika mwili.
  14. Chozizwa 2020

    JamiiForums Tanzania DP World: Watanzania ondokeni wasiwasi, Makubaliano yetu na TPA hayana kifungo cha kisheria baina ya pande zote mbili

    Mkuu utafanyaje marekebisho wakati Mkataba umeshaanza? Kwa nini usafanye kabla ili pande zote mbili ziridhie?
  15. Chozizwa 2020

    JamiiForums Tanzania Arnold Schwarzenegger: Heaven is 'Fantasy' and 'Nothing' happens when we die

    Mkuu, roho ina kufa kivipi? au ulikuwa na maana moyo?
Back
Top Bottom