Wakuu habarin za kazi.
Natafuta fundi mzuri wa hizi nyumba za contemporary aliyeko Mbeya mjini kwa ajili ya kufix sehem kwenye ofisi panavuja.
Ofisi imejengwa kwa aina hiyo hivyo kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha imeanza kuvuja hivyo naomba tuwasiliane ili aje kufix.
Anichek 0621 164 143.
Wakuu habarini za asubuhi,
Nashukuru Mungu nimemaliza kujenga boma na sasa nimebakiza kupaua km Mungu atajilaalia. Sasa nataka kupaua na bati za Alaf hasa zile zenye umbo km vigae.
Naomba anayejua aniambie bei zake au ushaur wowote kuhusu hiz bati ili nikamilishe ndoto zangu.
Natanguliza...
Yaan nataman hata ningekua na namba yako nikupigie nkupe ushauri, kuandika hapa pekee haitosh. Ila all in all usipende maisha ya kuiga jarib kuwa na maisha yako.
We jamaa huna akili na ndio maana miaka 41. Bado unamlilia babako. Sasa si ungejiongeza ktk ile hela ya kununua nyumba walau ungeweka chako cha juu ili basi biashara ikishafanyika upate chako cha juu mchezo uishe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.