Ungeweka ushabiki pembeni ungekuja na mada nzur...al ahly ndio club yenye makombe mengi duniani je makombe yote yanayowafanya watambulike na makombe mengi duniani yanatambulika na FIFA na CAF.
Mkuu mwaka jana kwenye tamasha la yanga walijaza kuliko la simba je manara alikuwepo yanga? Kama ulifatilia ligi ya Tanzania msimu uliopita pia mechi za taifa za yanga na za simba nani alikuwa anapata mashabiki wengi.
Ni kuanzia wiki mbili na kuendelea pia kama umeitwa utaona kwenye account yako pamoja na namba ya mtihan pia huwa wanaweka majina kwenye website yao ajira.go.tz
Hii si inafanana na ile idea aliyosema Gianni Infantino kwenye uchaguzi uliopita wa CAF mbona sasa wao wanaipinga kwa kujua kuwa itaharibu ligi nyingine na kukandamiza vilabu visivyo na nguvu kiuchumi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.