Recent content by CHOTA CHOTA

  1. C

    Hii ndiyo taarifa ya SUGU kuhusu usuluhishi

    Sugu ni Jembe! Peace cannot be achieved through violence, it can only be attained through understanding. Pamoja Bro!
  2. C

    Tume ya PM Pinda na madaktari hali si shwari

    Huwezi shindana na Serikali, kwani Serikali ni MONSTER. Hapo Serikali wameshamaliza kazi yao, si unajua chanzo cha mgomo huu, umejengwa na baadhi ya madaktari Bingwa Viongozi wa MAT ambao Mama Nyoni aliwataka waende Mikoani baada ya kumaliza mafunzo yao ya Ubingwa. Sasa Serikali inachofanya hapo...
  3. C

    Dkt. Mwakyembe: Nimekerwa sana na msimamo wa Jeshi la Polisi juu ya afya yangu

    Mkuu Mkijiji, hapo juu nilipobold si kweli, kama ingekuwa hivyo Wanasayansi wasingesumbuka kupata chanjo au tiba za magonjwa mbali mbali dunia kwa sababu ugunduzi wa tiba/kinga moja ungelitibu magonjwa mbali mbali. Si kweli eti mtu aliyekuwa exposed na sumu ya panya anapata kinga ya sumu ya...
  4. C

    Dkt. Mwakyembe: Nimekerwa sana na msimamo wa Jeshi la Polisi juu ya afya yangu

    Hii ni mojawapo ya tafiti zilizofanywa kwa wanyama kuhusu sumu ya polonium-210 kama itatokea mtu atakunywa au atalishwa (ingestion) na kuivuta (Inhalation). Sasa hapa nina swali , wana JF mnipe jibu, lakini sidhani kama tunaweza pata hili jibu neither kutoka kwa Mwakyembe nor kutoka kwa DCI...
  5. C

    Dkt. Mwakyembe: Nimekerwa sana na msimamo wa Jeshi la Polisi juu ya afya yangu

    Mkuu unaweza kutuambia hii regime imeua Viongozi wangapi tangu imeingia madarakani? maana hizi tuhuma ulizotoa ni nzito sana. Otherwise, tutadhania ni nyimbo tu ambazo tumezizoea siku zote (Consiperancy theories za kina Jason Borne wanna be). Aidha, naomba ututajie hayo majina ya hao kina dada...
  6. C

    Dkt. Mwakyembe: Nimekerwa sana na msimamo wa Jeshi la Polisi juu ya afya yangu

    Determining specific etiologies in exfoliative dermatitis often is not possible; however, it is necessary to attempt since etiology may impact disease course and management options. The list of conditions that can cause exfoliative dermatitis is extensive and continues to expand. Cutaneous...
  7. C

    Dkt. Mwakyembe: Nimekerwa sana na msimamo wa Jeshi la Polisi juu ya afya yangu

    Kinachoshangaza katika tamko lake hakuna hata sehemu moja alipokili kuwa kalishwa sumu, yeye mwenyewe binafsi hataki kusema kwamba ugonjwa wake umesababishwa na sumu. Eti anasema kwenye bone marrow yake kuna kitu kinachosababisha tatizo lake la ngozi na hataki kusema ni kitu gani, yeye mwenyewe...
  8. C

    Blandina Nyoni na uhamisho wa uonevu, na kupendelea kabila lake, marafiki

    Jamani mnafatilia kwenye maofisi ya Wachaga na Wapare au mnamsakama mama nyoni tu?
  9. C

    Blandina Nyoni na uhamisho wa uonevu, na kupendelea kabila lake, marafiki

    Manager mzuri hawezi kusifiwa na wafanyakazi anaowasimamia, na ukiona kinyume chake, hujue hapo hakuna kitu ni kama Pinda tu.
  10. C

    Vichwa Hivi vya Azania Viliishia Wapi?

    Nakumbuka tulikuwatunapiga tuiti kwa Mudi, yaani Boka akisikia Mudi to anamalizia pindi (From this particular juncture let end up here) BOKA akisikia sentensi hiyo, anatoka nduki! ni kweli alikuwa anasoma bure mapindi yote, BoKa alikuwa noma sana.
  11. C

    Blandina Nyoni na uhamisho wa uonevu, na kupendelea kabila lake, marafiki

    Hakuna chochote, hizi tuhuma zipo tu humu JF hazipo TAKUKURU (Uzushi), ni kawaida ya watanzania kulalama tu. Walishasema Serikali haiendeshwi na Mitandao na ususani na mitandao ambayo kutwa inaponda tu Serikali yenyewe na Rais wake.
  12. C

    Nyoni hayuko ofisini, yuko kazini

    Sasa umepoteza imani na Pinda kivipi? kwani Pinda ndiye aliyemteua Nyoni? Aibu ya nn.
  13. C

    Tujikumbushe tuition za ukweli enzi hizo tukiwa madenti

    Ndugu yangu wakati huo Jitegemee (JITE) ilikuwa noma sana, nakumbuka ilikuwa mwaka 1999 walitoa vichwa zaidi ya 5 kwenda special school, hiyo bunch ilikuwa noma sana kuna mchizi mmoja alikuwa anaitwa Golota, huyu mchizi alikuwa amekuwa akiwa wa kwanza katika miaka yake yote alipokuwa hapo...
Back
Top Bottom