Nimepoteza imani 100% na pinda..he's such a good liar..mbona ana tudhalilisha watu wenye nyota simba?? sisi ni wakali na wachapa kazi..amuone mwenzake lowassa..anatia kinyaa kwakweli..nasikia mwanasheria ..sijui kama kuna kesi hata moja alishinda,,kutwaaa kudanganya tu aibu hata haoni..
Utajuta mwaka huu..
Kwa kuwa atapata kazi kwenye international org basi tumwache aendelee tu kufisadi au naona wewe ni mnufaika wa huyo mdada(simuiti mmama sababu akina mama ni watu wazima wenye uchungu na maisha ya watu,mdada ni msichana mdogo hajui maisha na hajali ),sasa anang'ang'ania nini si aende huku kwenye Inter org tuone kama atajichukulia tenda za catering na kuuza nguo za Tsh 100,000 kuwa Tsh 500,000Inakuhusu nini? Hata kama akiachaia ngazi bado atapatakazi kwenye international org. You should be having better things to do than wasting time looking for majungu.
Diamod bonds ni NGUMU stable sana, which make Diamond one of the hardest stones on earth...........so is CCM katika kusikiliza mambo ya maana na kyatenda...........Kigmu sana hiki chama.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Blandina Nyoni aliyetangazwa kusimamishwa kazi na Waziri Mkuu,Mizengo Pinda bado yuko kazini.Ziara yangu ya 'kiintelijensia' Wizarani hapo asubuhi ya leo imebainisha hayo.Nikijifanya ni mtu mwenye 'appointment' na msimamishwa huyo ili nimletee nyaraka zake toka kwenye Kampuni yetu ya Uwakili,nilielezwa kuwa ingawa Nyoni hapatikani ofisini tangu tarehe ya tamko la Waziri Mkuu,bado anaendelea kufanya kazi zake zinazoambatana na posho na marupurupu stahiki,akiwa nyumbani kwake au mahali popote pengine.
'Hatakiwi kuonekana hapa Ofisini ili vuguvugu la mgomowa Madaktari liishe' alieleza mmoja wa wasaidizi wa Nyoni. Imebainika kuwa hadi leo,si Nyoni wala Mtasiwa(Mganga Mkuu wa Serikali-Deo Mtasiwa) aliyepokea barua rasmi ya kusimamishwa kazi.Madaktari na watanzania kwa ujumla wamefanywa mazuzu? Mwenye masikio na asikie...
Musipoteze muda kumfikiria huyu mam, Blind Nyoni will never come back. Sana sana fungukeni kuanza kuwaleta mafisadi wengine kama William Erio wa PPF au Emmanuel Humba wa NHIF
Nimepoteza imani 100% na pinda..he's such a good liar..mbona ana tudhalilisha watu wenye nyota simba?? sisi ni wakali na wachapa kazi..amuone mwenzake lowassa..anatia kinyaa kwakweli..nasikia mwanasheria ..sijui kama kuna kesi hata moja alishinda,,kutwaaa kudanganya tu aibu hata haoni..