Recent content by chororingo

  1. C

    Mchambuzi Farhan: Simba wametupiga kwenye jezi

    Nadhani kuanzia group stages CAF wana wadhamini wao kwa hiyo clubs hazitakiwi kuweka nembo za mdhamini yeyote.
  2. C

    Mechi ya Yanga na Azam yasogezwa mbele kuipa nafasi michuano ya AFL

    Tarehe 22 October 2023 wanacheza TP Mazembe and Esperance Sportive de Tunis Benjamin Mkapa Stadium baada ya uwanja wa TP mazembe wa Kongo kufungiwa kwa mechi hiyo.
  3. C

    Uhaba wa dola unaweza kuangusha biashara: Deogratius Temba, Mfanyabiashara

    wamekulipa kwa exchange rate ya TZS 1,637.78 per US dollar. Imeenda hiyo.
  4. C

    INAUZWA Spare mpya za Magari ya Kijapani

    Habari za leo. Unayo Brake Master Cylinder ya Land Cruiser Prado diesel ya mwaka 2001, engine no 1KD0867463, chasis no 1KDJ950025500. Model no KH-KDJ95W.
  5. C

    Ni upi mtungi bora wa gesi?

    sio kweli kwamba gas ni ileile. oryx ana meli yake ya gas na mihan naye ana meli yake ya gas
  6. C

    Vibao vya Lugalo barracks

    kajaribu kupiga picha hilo bango uone.
  7. C

    Vibao vya Lugalo barracks

    atapigaje picha aneo la jeshi. atakuwa hajipendi huyo.
  8. C

    FT: Simba SC 1-0 Ihefu FC | Ligi Kuu Bara | Stade de Benjamin Mkapa 12/11/2022

    Bila kutafuta kocha mwingine simba haina kitu. Kocha hana mbinu anabebwa na uwezo binafsi wa wachezaji. Pengo la chama linaonekana. Kocha alitakiwa kutengeneza mbadala. Unapata ushindi wa taabu kwa timu inayoburuza mkia hiyo maana yake timu yako haiko vizuri.
  9. C

    Namna ya kuangalia jina la mmiliki wa gari kupitia plate number

    Tumia mfumo wa Tira wa insurance utapata.
  10. C

    US Gendermerie 1 - 1 Simba Sc| CAF Confederation Cup | Stade General Seyni Kountche

    zbc2 utapata kwenye king'amuzi cha azam
  11. C

    Mbeya City 1-0 Simba SC | Ligi kuu Tanzania bara | Mbeya

    wamepata nafasi badala kusajili mshambuliaji wa maana wapo busy na chama. boko anajikwaakwaa tu mule ndani. mugalu na kagere hamna kitu. hawa bodi ya simba ni wasanii tu wote. wapo pale kupiga hela tu.
  12. C

    Dogo kachaguliwa UDOM na Mipango ila hataki hivyo vyuo

    Lakini si aliomba mwenyewe hizo course?
Back
Top Bottom