mngony
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 5,193
- 6,381
Habari Wakubwa.
waswahili wanasema kuuliza si ujinga
Ningependa kufahamu Naibu Gavana wa Benki Kuu anapatikana vipi? Ni mteule tu wa Rais kama wateule wengine? Majukumu yake ni yapi?
Naibu gavana wetu sasa anaitwa nani alikuwa wapi na wapi kabla ya kuwa Naibu Gavana. Nafahamu Gavana Luoga alikuwa Mhadhiri Chuo Kikuu Dar es Salaam( UDSM) na kama sijakosea alikuwa TRA kabla ya kuwa Gavana
Ahsanteni sana
waswahili wanasema kuuliza si ujinga
Ningependa kufahamu Naibu Gavana wa Benki Kuu anapatikana vipi? Ni mteule tu wa Rais kama wateule wengine? Majukumu yake ni yapi?
Naibu gavana wetu sasa anaitwa nani alikuwa wapi na wapi kabla ya kuwa Naibu Gavana. Nafahamu Gavana Luoga alikuwa Mhadhiri Chuo Kikuu Dar es Salaam( UDSM) na kama sijakosea alikuwa TRA kabla ya kuwa Gavana
Ahsanteni sana