Ni upi mtungi bora wa gesi?

Ni upi mtungi bora wa gesi?

Gas ni ile ile kwenye mitungi yte labda kama wachakachue ujazaji tu.

Kama eneo ulipo zinapatikana taifa gas or mihan, bas chukua sababu ndio kampuni ya bei nafuu kwa wakati huu.
Mihan/taifa gas kg 6 ikiwa complete ni Tsh 45,000 tofauti na kampuni nyingine ambazo ni Tsh 55,000 kwa 50,000.
 
tofauti hapo ni majina tu ya Company mitungi yote ipo sawa either uwe wa 6kg ,15kg Gas ni ileile anapojazia Oryx ndipo wanapojazia mihan,ogas,lake etc kuwai kuisha ni matumiz ya mtu tz
sio kweli kwamba gas ni ileile. oryx ana meli yake ya gas na mihan naye ana meli yake ya gas
 
Nakushauri nunua jiko la umeme mwezi wa sita Julias Nyerere power plant inawashwa so umeme kukatika itakua historia
Kwani watu wanashindwa kutumia majiko ya umeme kutokana na umeme kukatika katika?inshu ni gharama kubwa ya umeme!!na wala sio inshu ya kukatika
 
Yawezekana anachosema kikawa na ukwel au hapana
Why maji ya kilimanjro yauzwe bei kubwa kuzid dasan, uhai au ata jambo wakat ujazo ni sawa
Yawezena oryx wamaweka kemikal flain ambazo uchangia gas yao kua bora
Ni sawa sawa na petrol unapoweka petrol Total bei ya mafuta yao ni tofauti na bei ya mafuta vituo vingne na ukiuliza wanasema yao ni bora na yanadawa sa sjui ni kwel au ni wizi tu
 
Naomba kujua ndugu zangu. Kuna mitungi mingi sana sokon o-gas, mihan, taifa, manjis, lake, oryx n.k

Kuna mtu kanambia oryx inakaa muda mrefu ila mingine kidogo tu umeisha gas, pia amelinganisha bei ya oryx na nyingine akisema ipo juu kwakuwa ni bora kuliko mitungi mingne.

Sasa nawauliza ndugu zangu apa uzoefu wenu kweny hii mitungi ni kwel kuwa oryx ni bora zaid ya mingne?
Hii January hii mungu atuvushe tu.
Mi natumia orxy na manjis orxy ni bora.
 
Sijabisha. Ila kila 30 + mtungi kwa 70k. Kilo 30? Eniwei sawa.

Otherwise unamaanisha mtungi wa kilo 15? Mana gesi mitungi standard hata kwa puma ni 6kg, 15kg na 38kg. Nadhani uliposema mtungi wa kilo 30 ndio haikua sawa

Ule mtungi wa kati ambao kujaza ni 57,000 Puma wanauza kwa offa 70k,Puma wana mitungi mizuri sana.
 
Yawezekana anachosema kikawa na ukwel au hapana
Why maji ya kilimanjro yauzwe bei kubwa kuzid dasan, uhai au ata jambo wakat ujazo ni sawa
Yawezena oryx wamaweka kemikal flain ambazo uchangia gas yao kua bora
Ni sawa sawa na petrol unapoweka petrol Total bei ya mafuta yao ni tofauti na bei ya mafuta vituo vingne na ukiuliza wanasema yao ni bora na yanadawa sa sjui ni kwel au ni wizi tu
Ni sahihi hata Kwa gesi kuna tofauti ,nyingine inawaka kwa makelele mno, nyingine inatoka kwa fujo ukifungulia tu na ni ngumu kuicontrol, nyingne moto sio mkali, nyingne inaisha kwa haraka... hata compound zinazounda gesi zipo tofauti...
Kuepusha maelezo mengi anunue tu oryx
 
Back
Top Bottom