Sheria ipo kwa ajili gani? Yani hii excuse ni ya kipuuzi na watu hapo EWURA na vyombo vingine vya serikali wanakubali kabisa kuwaumiza wananchi masikini kwa kuwauzia mafuta ya taa wananchi kwa bei ghali ili kudhibiti wanaochakachua diesel?
Wakaguzi wa ubora wa mafuta wanafanya kazi gani...
Afadhali wametusaidia kutangaza kuwa anga letu limefunguliwa na kutoa link za mashirika ya ndege mbali mbali kwa ajili ya kukata tiketi. Kuhusu magonjwa waje watajionea watu wakichapa kazi freely bila shida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.