Recent content by Chopra1235

  1. C

    Nauza kiwanja nahitaji kuamia mkoani chap..

    Hapana mkuu.....apo mbali sana.
  2. C

    Nauza kiwanja nahitaji kuamia mkoani chap..

    dakika tano kutoka barabarani.....hata ukiamua kujenga mchanga unapata hapo karibu........na maji sio shida kabisa.
  3. C

    Nauza kiwanja nahitaji kuamia mkoani chap..

    ninakiwanja vikindu kazole futi 50 kwa 50 kipo karbu na barabara maji na umeme vinapatikana kirahis sana Bei 4.5M
  4. C

    Hii ni kwa wapenda mayai wote

    Trey trey moja mbaka 9 ni 10000 Trey 10, ni 9500 Trey kuanzia 20 ni 9000 Karibu, mayai ya kiwango cha mataifa. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. C

    Hii ni kwa wapenda mayai wote

    Nauza mayai.....jumla kuanzaia trey kumi nakuletea ulipo kwa hapa dar es salaam. Mayai yapo ya kutosha............ Kama unahitaji Waweza nitumia nitumia inbox na outbox Karibuni. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. C

    Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

    Jaman nina vigari vingi ndugu zangu wamefulia wanataka kuviuza kama unahitaji 0674497230 Sent using Jamii Forums mobile app
  7. C

    Naitafuta FURAHA niipate wapi mie Jamani.

    Jifunze kusamehe, ukute kutokana na mzingira uliyokulia kuja mengi uliyabeba moyoni yaliyo kua yanakuumiza, yaache yaende.......afu jikubali ulivyo.....na mpe Mungu Maisha yako mwombe akuonesha furaha yako ilipo...... Sent using Jamii Forums mobile app
  8. C

    Wanawake wa hii mikoa, nawapa hongera sana

    [emoji23][emoji23] Mkuu siku yangu leo imeisha vizuri Sent using Jamii Forums mobile app
  9. C

    Acha kusingizia huna pesa/ maumbile , mridhishe mkeo/ mwanamke wako.

    Wanaume wengi tumekua na tabia ya kusingizia pesa na maumbile ndo tatizo la wewe kutoweza kumlidhisha mwanamke wako. Jambo ambalo tunashindwa kuelewa ni kwamba, unaeza kumpa mwanamke wako hata ATM nzima....akaishia kumpa mtu mwingine baki ambae hata ukuweza kumfikiria. Kibaya zaidi wanawake...
  10. C

    Tusio na kazi tukutane hapa

    Kwa wale ambao hawana kazi natoa kazi.... Kama kweli upo serious nifate inbox Sent using Jamii Forums mobile app
  11. C

    Umewahi kuugua tumbo la kuhara ukiwa unasafiri safari ndefu??

    [emoji23] mimi hii ilinitokea Kwenye Daladala ile konda wa posta gogo la mboto kaisha pakia na wanavyo jua kutupaki kama mizigo ya ndizi....kitu akisikii nikasema potelea mbali nimwambia konda nimepotea gari.....ikanibidi nishuke na matusi juu Sito sahau....nikaenda kwenye choo cha sheli...
Back
Top Bottom