Nataka laptop kwa matumizi ya ofisi na kuchora ramani kwa program kama QGIS. Napenda iwe nyembamba, betri iandumu muda mrefu na speed ya radi. bajeti yangu milioni tatu
Hao ni watumishi sio kazi za baba zao. Kama mtumishi hatii sheria si unamfukuza? Vijana wamejaa mtaani kwa maelfu hawana kazi kumbe kuna wajinga kazi zimewashinda! Kwanini hawachukuliwi hatua?? Hao ambao CAG amethibitisha wameiba miaka na miaka mmewafanya nini?? Mnawapaka rangi tu. Unamuajiri...
Hii si serikali ya CCM mnatandao wa makada mpaka balozi wa nyumba kumi. Mna wakuu wa wilaya kwanini wasiwawajibishe. Ccm ni ileile. Pesa zinakwapuliwa hakuna uwezeshwaji wa kufanya kazi kwanini watumishi wasipige stori. watumishi wengi wa serikali wapo underemployed!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.