Recent content by Choona

  1. C

    Computer4Sale Niulize laptop gani unataka na kwa ajili ya matumizi yapi nikupe bei na ushauri

    Nataka laptop kwa matumizi ya ofisi na kuchora ramani kwa program kama QGIS. Napenda iwe nyembamba, betri iandumu muda mrefu na speed ya radi. bajeti yangu milioni tatu
  2. C

    Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

    Starehe mnazipenda lakini mwisho wake mbaya. Nı hayo tu tokakwa ngulı
  3. C

    Hosp gani nzuri ya kufanya urine analysis Dar or Dodoma

    Kinondoni moroco jirani na jengo la airtel
  4. C

    Hosp gani nzuri ya kufanya urine analysis Dar or Dodoma

    Nenda lancert wao kazi yao kupima tu.
  5. C

    Ticha gani wa twisheni ulikuwa unamkubali sana

    Tulosoma ywca moshi enzi hizo chemistry alikuwepo ambrose au a boy mwanafunzi wa mkandawile
  6. C

    Watumishi wote wanaoenda kinyume na sheria wanampinga Mheshimiwa John Pombe Magufuli

    Hao ni watumishi sio kazi za baba zao. Kama mtumishi hatii sheria si unamfukuza? Vijana wamejaa mtaani kwa maelfu hawana kazi kumbe kuna wajinga kazi zimewashinda! Kwanini hawachukuliwi hatua?? Hao ambao CAG amethibitisha wameiba miaka na miaka mmewafanya nini?? Mnawapaka rangi tu. Unamuajiri...
  7. C

    Watumishi wote wanaoenda kinyume na sheria wanampinga Mheshimiwa John Pombe Magufuli

    Hii si serikali ya CCM mnatandao wa makada mpaka balozi wa nyumba kumi. Mna wakuu wa wilaya kwanini wasiwawajibishe. Ccm ni ileile. Pesa zinakwapuliwa hakuna uwezeshwaji wa kufanya kazi kwanini watumishi wasipige stori. watumishi wengi wa serikali wapo underemployed!!
  8. C

    Lowassa Profile, KTN KENYA

    John allan namu ktk ubora wake hawa jamaa na kipindi chao cha jicho pevu nawakubali.
  9. C

    Putin sends in his most ruthless special forces killers to finish off jihadist

    Kwa jinsi wanavyosifiwa hao spetsnaz huko chechniya kusingekuwa na waasi wa miaka na mikaka
  10. C

    Lowassa: To all Voters of change

    Naam mi mwehu ndio maana siijui lugha ya taifa
  11. C

    Lowassa: To all Voters of change

    Hizi kura anaomba waingereza au watanzania??!!
  12. C

    Rafiki

    Here i am
Back
Top Bottom