nenda aghakan nimeenda juz kwa mkojo unapmwa vitu vingi sana maana upande wa mkojo wanakujazia sehemu kama saba
Wako wapi hawa?Nenda lancert wao kazi yao kupima tu.
Nenda Sanitas mikocheni
nenda aghakan nimeenda juz kwa mkojo unapmwa vitu vingi sana maana upande wa mkojo wanakujazia sehemu kama saba
Hata mimi nasumbuliwa na maswala ya mkojo nikipima kwenye hizi maabara za kawaida naambiwa hakuna tatizo! Wakat mimi naona kuna tatizo nimeshaafanya mpka ultrasound tatitzo halionekaniki.
Suluhisho ni nini mkuu? Niko Arusha
Tatizo lako ni nini? Mkojo unafanyaje?
Niliwahi kupima wakasema ni UTI nilivyotumia dose nikamaliza hatimae tatizo likaisha. Nikakaa mda nikawa naumwa kino upannde mmoja mara mkojo wenye harufu flani na miguu kuwaka moto na korodan moja inaumwa.
Nikienda kilq hosp wanasema hakuna tatizo!!
Niliwahi kupima wakasema ni UTI nilivyotumia dose nikamaliza hatimae tatizo likaisha. Nikakaa mda nikawa naumwa kino upannde mmoja mara mkojo wenye harufu flani na miguu kuwaka moto na korodan moja inaumwa.
Nikienda kilq hosp wanasema hakuna tatizo!!
Nenda Hindumandal DSM wanatumia bima ya Afya pia
Nenda hospital kubwa aisee hilo itakuwa swala sensitive tena kwa mwanaume itakuwa imekuathiri mno