Chief pole Sana ila Mimi siamini mambo ya maisha bila consequence wewe vuta mda nafasi itajitokeza ya kurevenge na uitumie ipasavyo manake hata science inakwambia to every action there is an equal and opposite reaction jipange halafu ufanye kweli hadi afurahi na roho yake huyo Demu hana tofauti...
Yani nimesikitishwa sana na watu wa humu ndani kweli kabisa mtu hawezi kutofautisha Air Force na navy jamani????? Kama hujui ni bora ukae kimya kuliko unakurupuka na kuongea usichokijua........sasa drone zinatokea wapi kwenye mafunzo ya navy? Na nani kasema jeshi la china dhaifu?katika majeshi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.